Kwa speed hi ya JK kupewa degree za heshima nafikiri very soon atampita marehemu Tumtemeke Sanga aliyekuwa na degree saba.
JK:
BA UDSM 1
Phd one of the US University 1
Phd Dodoma University 1
Phd Fatih University -Turkey 1
Phd MUCHS 1
Total 5
KaMA KUNA MINGINE MWENYE DATA ZAIDI AONGEZEE HAPA!
Kwa speed hi ya JK kupewa degree za heshima nafikiri very soon atampita marehemu Tumtemeke Sanga aliyekuwa na degree saba.
JK:
BA UDSM 1
Phd one of the US University 1
Phd Dodoma University 1
Phd Fatih University -Turkey 1
Phd MUCHS 1
Total 5
KaMA KUNA MINGINE MWENYE DATA ZAIDI AONGEZEE HAPA!
Crap!
Thread yako inatusaidia nini katika jamii. Peleka kwenye udaku na siyo hapa kwa great thinkers.
Kuweka sawa kumbu kumbu nadhani alipata moja Kenya!
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, Dk.Harris Mule akimtunuku Phd ya Heshima Rais Jakaya Kikwete mjini Nairobi mwaka 2008.
Pia chuo kikuu cha waislam Morogoro wapo kwenye Mchakato wa kumpa PhD mwakani, SUA na Mzumbe nadhani hadi anamaliza ngwe yake vyuo vyote vya umma watakuwa wamefanya hayo.
Kuweka sawa kumbu kumbu nadhani alipata moja Kenya!
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, Dk.Harris Mule akimtunuku Phd ya Heshima Rais Jakaya Kikwete mjini Nairobi mwaka 2008.
Pia chuo kikuu cha waislam Morogoro wapo kwenye Mchakato wa kumpa PhD mwakani, SUA na Mzumbe nadhani hadi anamaliza ngwe yake vyuo vyote vya umma watakuwa wamefanya hayo.
Mkuu kwa kweli nimekubali kwa jinsi ulivyo na pic data base!!! Big up...
Kwa speed hi ya JK kupewa degree za heshima nafikiri very soon atampita marehemu Tumtemeke Sanga aliyekuwa na degree saba.
JK:
BA UDSM 1
Phd one of the US University 1
Phd Dodoma University 1
Phd Fatih University -Turkey 1
Phd MUCHS 1
Total 5
KaMA KUNA MINGINE MWENYE DATA ZAIDI AONGEZEE HAPA!
Kwa speed hi ya JK kupewa degree za heshima nafikiri very soon atampita marehemu Tumtemeke Sanga aliyekuwa na degree saba.
JK:
BA UDSM 1
Phd one of the US University 1
Phd Dodoma University 1
Phd Fatih University -Turkey 1
Phd MUCHS 1
Total 5
KaMA KUNA MINGINE MWENYE DATA ZAIDI AONGEZEE HAPA!
Kwa speed hi ya JK kupewa degree za heshima nafikiri very soon atampita marehemu Tumtemeke Sanga aliyekuwa na degree saba.
JK:
BA UDSM 1
Phd one of the US University 1
Phd Dodoma University 1
Phd Fatih University -Turkey 1
Phd MUCHS 1
Total 5
KaMA KUNA MINGINE MWENYE DATA ZAIDI AONGEZEE HAPA!
Nimesikia pale msikiti wa mtambani wanaandaa phd wampe. Jk- usizikatae chukua tu tuzipeleke kwenye guinness book. Wajinga ndo waliwao
Kwa speed hi ya JK kupewa degree za heshima nafikiri very soon atampita marehemu Tumtemeke Sanga aliyekuwa na degree saba.
I can simply say this is double standard kwa sababu Tunte alizipiga hakuzilazimisha na kuzingoja akiwa chumbani.
Hujasikia kuwa mchakato unaendelea Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kumwongezea???
Kwa idadi (sio kwa ubora) JK atamzidi Tunte maana vyuo vyote bongo watampa
Kaka umekosea nini mbona hatuoni MASTERS DEGREE yeyote kwenye list?