Ndugu Jk, wewe ndio tatizo la yanayomsibu Mwakyembe.
Nduku JK, wewe ndio chanzo la migogoro yote ya kidini hapa nchini.
Nduku JK, wewe ndio chanzo na kichochezi cha umaskini unaondelea hapa nchini.
Ndugu JK, naomba nikukumbushe
1. Kundi la watu waliotumika kucheza njama za kumua Mwakyembe walitumia baadhi ya magari yenye # za STK.
>wewe ulikuwa wapi?
>usalama wako hawana taarifa?
>nani aliwapa hizo gari?
>hatua gani umechukua kujua undani wa hao wauaji kutumia hizo gari?
>kwanini ukae kimya?
>mtoto wako alituhimiwa ufisadi, mbona uliongea? na mahakami mlitishia kumpeleka Dr.PhD wa ukweli.?
2. Wewe ndio ulimfunga mdomo Mwakyembe hasisome sehemu ya ripoti ya ufisadi wako na EL.
>Ukimya wako wa kutosema chochote juu ya Mwakyembe ni ushahidi tosha kuwa unahusika na richmond.
3.mungu wako sheih yahaya, alisema atakayeshindana na wewe atakufa.
>Hukusema chochote ndugu, au kukemea matamshi kama haya, kwanini tusiamini wewe ndio unayebariki assassination zote?
Ndugu naijua UWT vizuri, wasingekuwa tayari kupokea amri yako kummaliza Mwakyembe ndio maana mkaamua kutumia njia za panya.
Kuficha madudu yako ukamleta huyo kibaraka wako awe mkuu hapo UWT. Dhamira ikakushuta ukaona umrudishe yule bwana mdogo ambaye ndio ana sifa zote za kuwa boss pale, lakini kwa visasi ulimtupa kwanza kijijini ili umokomeshe.
Ninyi admin wa JF mmebana ya kwanza, baneni na hii, acheni kuwa vibaraka, jk anatumaliza huku anacheka, na ninyi ndio wafadhili wakubwa, unafiki wenu utawamaliza.
Nduku JK, wewe ndio chanzo la migogoro yote ya kidini hapa nchini.
Nduku JK, wewe ndio chanzo na kichochezi cha umaskini unaondelea hapa nchini.
Ndugu JK, naomba nikukumbushe
1. Kundi la watu waliotumika kucheza njama za kumua Mwakyembe walitumia baadhi ya magari yenye # za STK.
>wewe ulikuwa wapi?
>usalama wako hawana taarifa?
>nani aliwapa hizo gari?
>hatua gani umechukua kujua undani wa hao wauaji kutumia hizo gari?
>kwanini ukae kimya?
>mtoto wako alituhimiwa ufisadi, mbona uliongea? na mahakami mlitishia kumpeleka Dr.PhD wa ukweli.?
2. Wewe ndio ulimfunga mdomo Mwakyembe hasisome sehemu ya ripoti ya ufisadi wako na EL.
>Ukimya wako wa kutosema chochote juu ya Mwakyembe ni ushahidi tosha kuwa unahusika na richmond.
3.mungu wako sheih yahaya, alisema atakayeshindana na wewe atakufa.
>Hukusema chochote ndugu, au kukemea matamshi kama haya, kwanini tusiamini wewe ndio unayebariki assassination zote?
Ndugu naijua UWT vizuri, wasingekuwa tayari kupokea amri yako kummaliza Mwakyembe ndio maana mkaamua kutumia njia za panya.
Kuficha madudu yako ukamleta huyo kibaraka wako awe mkuu hapo UWT. Dhamira ikakushuta ukaona umrudishe yule bwana mdogo ambaye ndio ana sifa zote za kuwa boss pale, lakini kwa visasi ulimtupa kwanza kijijini ili umokomeshe.
Ninyi admin wa JF mmebana ya kwanza, baneni na hii, acheni kuwa vibaraka, jk anatumaliza huku anacheka, na ninyi ndio wafadhili wakubwa, unafiki wenu utawamaliza.