JK ndio tatizo!

Sirikali

Member
Dec 16, 2010
89
36
Ndugu Jk, wewe ndio tatizo la yanayomsibu Mwakyembe.
Nduku JK, wewe ndio chanzo la migogoro yote ya kidini hapa nchini.
Nduku JK, wewe ndio chanzo na kichochezi cha umaskini unaondelea hapa nchini.
Ndugu JK, naomba nikukumbushe
1. Kundi la watu waliotumika kucheza njama za kumua Mwakyembe walitumia baadhi ya magari yenye # za STK.
>wewe ulikuwa wapi?
>usalama wako hawana taarifa?
>nani aliwapa hizo gari?
>hatua gani umechukua kujua undani wa hao wauaji kutumia hizo gari?
>kwanini ukae kimya?
>mtoto wako alituhimiwa ufisadi, mbona uliongea? na mahakami mlitishia kumpeleka Dr.PhD wa ukweli.?

2. Wewe ndio ulimfunga mdomo Mwakyembe hasisome sehemu ya ripoti ya ufisadi wako na EL.
>Ukimya wako wa kutosema chochote juu ya Mwakyembe ni ushahidi tosha kuwa unahusika na richmond.

3.mungu wako sheih yahaya, alisema atakayeshindana na wewe atakufa.
>Hukusema chochote ndugu, au kukemea matamshi kama haya, kwanini tusiamini wewe ndio unayebariki assassination zote?

Ndugu naijua UWT vizuri, wasingekuwa tayari kupokea amri yako kummaliza Mwakyembe ndio maana mkaamua kutumia njia za panya.

Kuficha madudu yako ukamleta huyo kibaraka wako awe mkuu hapo UWT. Dhamira ikakushuta ukaona umrudishe yule bwana mdogo ambaye ndio ana sifa zote za kuwa boss pale, lakini kwa visasi ulimtupa kwanza kijijini ili umokomeshe.


Ninyi admin wa JF mmebana ya kwanza, baneni na hii, acheni kuwa vibaraka, jk anatumaliza huku anacheka, na ninyi ndio wafadhili wakubwa, unafiki wenu utawamaliza.
 
Ndugu Jk, wewe ndio tatizo la yanayomsibu Mwakyembe.
Nduku JK, wewe ndio chanzo la migogoro yote ya kidini hapa nchini.
Nduku JK, wewe ndio chanzo na kichochezi cha umaskini unaondelea hapa nchini.
Ndugu JK, naomba nikukumbushe
1. Kundi la watu waliotumika kucheza njama za kumua Mwakyembe walitumia baadhi ya magari yenye # za STK.
>wewe ulikuwa wapi?
>usalama wako hawana taarifa?
>nani aliwapa hizo gari?
>hatua gani umechukua kujua undani wa hao wauaji kutumia hizo gari?
>kwanini ukae kimya?
>mtoto wako alituhimiwa ufisadi, mbona uliongea? na mahakami mlitishia kumpeleka Dr.PhD wa ukweli.?

2. Wewe ndio ulimfunga mdomo Mwakyembe hasisome sehemu ya ripoti ya ufisadi wako na EL.
>Ukimya wako wa kutosema chochote juu ya Mwakyembe ni ushahidi tosha kuwa unahusika na richmond.

3.mungu wako sheih yahaya, alisema atakayeshindana na wewe atakufa.
>Hukusema chochote ndugu, au kukemea matamshi kama haya, kwanini tusiamini wewe ndio unayebariki assassination zote?

Ndugu naijua UWT vizuri, wasingekuwa tayari kupokea amri yako kummaliza Mwakyembe ndio maana mkaamua kutumia njia za panya.

Kuficha madudu yako ukamleta huyo kibaraka wako awe mkuu hapo UWT. Dhamira ikakushuta ukaona umrudishe yule bwana mdogo ambaye ndio ana sifa zote za kuwa boss pale, lakini kwa visasi ulimtupa kwanza kijijini ili umokomeshe.


Ninyi admin wa JF mmebana ya kwanza, baneni na hii, acheni kuwa vibaraka, jk anatumaliza huku anacheka, na ninyi ndio wafadhili wakubwa, unafiki wenu utawamaliza.

Umbea utakuua mtoto wa kiume!
 
Kumbe JF huwa wanabana? mi nilipost nikilia na viongozi wa dini kuishia kukemea kwenye madhabahu kisha wanarudi kwenye mahekaru kimya, post yangu iliondolewa mara moja.
Labda nidandie hii walioiacha,
Viongozi wa dini wapo kimya kwa hili la mwkyembe, mgomo wa madaktari, vipi? hawawezi kutuongoza waumini kwenye maandamano? wawe mstali wa mbele? mi naamini viongozi wa dini wakitimiza wajibu wao mabadiliko ni dhahiri na yatakuwa ya haraka. Nini kinawakwamisha? wanaogopa kusurubiwa kama yesu? Religion leaders for sucrifice, Religion leaders for changes.
 
Kumuua mwakyembe ni njia salama zaidi kwa JK maana ndo mwenye siri ya Richmond! Kosa la kamanda mwakyembe ni kukubali kukata kile kipande kinachomhusisha JK. kwa kawaida majasusi wakikutuma uume mtu waliyemlenga pia huwa wanandaa mtu akuue wewe haraka iwezekanavyo ili kupoteza ushahidi kabisa.Jikumbushe yaliyomkuta aliyemuua marehemu Laurent Kabila.MAITI HAIONGEI.
 
inabidi JF ianzishe jukwaa la umbeya ili posts kama hii zikae huko ili wambea wakazodoane
 
Umesahau kumtaja alomuokoa mwakyembe kwa kumpeleka Appolo India,ina maana we unauwezo wa kujua maadui zake kuliko yeye mwenyewe,kwa nini haondoki kwenye cabinet? Najua Mzee Sitta kajipa ukatibu mwenez wa Mwakyembe,we una cheo gan?
 
Ndugu Jk, wewe ndio tatizo la yanayomsibu Mwakyembe.
Nduku JK, wewe ndio chanzo la migogoro yote ya kidini hapa nchini.
Nduku JK, wewe ndio chanzo na kichochezi cha umaskini unaondelea hapa nchini.
Ndugu JK, naomba nikukumbushe
1. Kundi la watu waliotumika kucheza njama za kumua Mwakyembe walitumia baadhi ya magari yenye # za STK.
>wewe ulikuwa wapi?
>usalama wako hawana taarifa?
>nani aliwapa hizo gari?
>hatua gani umechukua kujua undani wa hao wauaji kutumia hizo gari?
>kwanini ukae kimya?
>mtoto wako alituhimiwa ufisadi, mbona uliongea? na mahakami mlitishia kumpeleka Dr.PhD wa ukweli.?

2. Wewe ndio ulimfunga mdomo Mwakyembe hasisome sehemu ya ripoti ya ufisadi wako na EL.
>Ukimya wako wa kutosema chochote juu ya Mwakyembe ni ushahidi tosha kuwa unahusika na richmond.

3.mungu wako sheih yahaya, alisema atakayeshindana na wewe atakufa.
>Hukusema chochote ndugu, au kukemea matamshi kama haya, kwanini tusiamini wewe ndio unayebariki assassination zote?

Ndugu naijua UWT vizuri, wasingekuwa tayari kupokea amri yako kummaliza Mwakyembe ndio maana mkaamua kutumia njia za panya.

Kuficha madudu yako ukamleta huyo kibaraka wako awe mkuu hapo UWT. Dhamira ikakushuta ukaona umrudishe yule bwana mdogo ambaye ndio ana sifa zote za kuwa boss pale, lakini kwa visasi ulimtupa kwanza kijijini ili umokomeshe.


Ninyi admin wa JF mmebana ya kwanza, baneni na hii, acheni kuwa vibaraka, jk anatumaliza huku anacheka, na ninyi ndio wafadhili wakubwa, unafiki wenu utawamaliza.
***********
hizi ndio siasa za maji taka.....unatafuta sifa zisizo na maana, skia Kama una data hebu ziwaishe kunakostahili ili waliohusika na Hilo jambo wakany** NDOO segedansi....a simple example: TUTAJIE NAMBA ZA HAYO MAGARI YA SIRIKALI YALIYOHUSIKA NA TUKIO LILITOKEA LINI NA WAPI.
stupid
 
Wewe umepata wapi hizi taarifa. Vizuri uzianike vizuri ili tuhukumu ukweli wake na uongo wake. Likini hivyo zilivyo tu, hazitoshelezi. Unapo andika serious issue kama hiyo, unabidi utu convince. Vinginevyo tunakua na mashaka sisi wengine ambao sio wa kupelekwa pelekwa tu. Lakini hatukuzuii kutumia uhuru wako, ila usiutumie vibaya, maana hapo unagusa heshima, taswira na hadhi ya mtu, ambae bila shaka for your allegations he stands more to loose than you. Kwa hiyo hatuwezi ku kukubalia bila kutoa maelezo ya kutosha. Pia hatuna haki ya kukukejeli kwa ulivyo fanya. Maana hao watu wote wawili ni binadamu ambao wanastahili kulindwa nafsi zao, mali zao na heshima zao.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom