kweli maisha bora kwa kila mwanamtandao.Wako wapi wale waliokuw wamlnajiita wanaccm vindakindaki wakati wa kampeni za uchaguzi.Naomba mjitokeze nyinyi mliosema mnaijua CCM zaidi.Wapo wenye CCM ndo hawa wanapewa nafasi za kulia.Na wengine wanakuja kudadadeki.Dr Slaa kawatafunia mmeshindwa kumeza.Sasa tujiandae kupigika miaka mingine mitano wakati wengine wanakula.Tumeyataka wenyewe.CCM ina wenyewe bwana.
NAWASILISHA KWA HUZUNI.