mama mkweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JK amewateua wabunge 3 kati ya 10 aliyopewa kikatiba.Ktk uteuzi huo yumo shamsi vuai nahodha na zakia meghji.SOURCE tbc taifa.
JK Hawezi kumwacha mama mkwe bila ulaji pamoja na madudu aliyoyafanya huko nyuma. Hivi alishalipa mahali? au ndo hayo malipo? Nani kama mama mkwe?