Jk-msijali Kuitwa Mafisadi!

Bro, nakubaliana na wewe 100% JK hayuko upande wetu kabisa coz is one of them in one way or another!!! JK is not clean trust me its just a matter of time nature will reveal his evils!! hawezi akakosa kushiriki kati ya mascandal yote haya yaliyo hewani, na kianchonifanya niseme hivyo ni yeye kutojishughulisha kabisa na hizi shutuma za ufisadi; kama kweli anauchungu na nchi anayooiongoza amefanya nini so far kuhakikisha BALALI anakuja kujibu tuhuma za mabilioni aliyoiba!!!!! its been a while since the truth came out!!! what is he doing about it???? kingine mambo ya LOWASSA yamefikia wapi? what is going on? yeye kujiuzulu uwaziri mkuu sio malipo ya pesa alizoiba lazima wajibishwe!!!! na CHENGE je, kwani tulikuwa tunasubiri Uingereza ituambia Chenge mwwizi, we could use our own common sense na ushahidi uliotuzunguka to come up with that conclusion ila Rais anayajua haya yote na yuko kimya kama KAFA, kisa?? He is involved in all these scandals in one way, trust me na kama anabisha basi achukue hatua tuone hapo ndio tutamwomba msamaha kwa kumsingizia not otherwise!!!!!:mad:



Mashoo, nakubaliana na wewe kabisa, kwa sababu hakuna humu duniani raisi wa nchi hajui kuwa nchi inauzwa kwa miaka 50 kimkataba. Inasikitisha sana kuona kuwa kuna watu wanam-support eti kafanya vitu vizuri. Safari ni ndefu sana Africa, haswa kwa Tz.
 
Mashoo, nakubaliana na wewe kabisa, kwa sababu hakuna humu duniani raisi wa nchi hajui kuwa nchi inauzwa kwa miaka 50 kimkataba. Inasikitisha sana kuona kuwa kuna watu wanam-support eti kafanya vitu vizuri. Safari ni ndefu sana Africa, haswa kwa Tz.

Ila naona Watanzani sasa wameamka na CCM days are numbered!
 
Maisha Magumu, uchumi umedorora,matatizo lukuki, huduma za afya duni, elimu isiyo na manufaa kwa wananchi, na sasa vimeanzishwa vituo vya kulelea wanafunzi waliomaliza darasa la saba, almaarufu shule za sekondari za Kata, huko hakuna elimu bali ni kusukuma siku tu, kuthibitisha hili kama uhai utakuwepo tutaona matunda yake miaka kumi ijayo pale jeshi la wasio na kazi litakapozagaa mitaani na kubuni mbinu mbalimbali za uangamizaji na wizi utakaobarikiwa na kizazi hicho kutokana na maandalizi duni ya vijana hao kwa sasa.
 
Je kama JK ameshindwa kusikiliza upande wa wananchi na badala yake ni wazi kakumbatia upande wa mafisadi...Je tutafika?
 
Alishawaambia wasijali kuitwa MAFISADI kwani BALLALI atakufa kwa mapenzi ya MUNGU.
 
Mashoo, nakubaliana na wewe kabisa, kwa sababu hakuna humu duniani raisi wa nchi hajui kuwa nchi inauzwa kwa miaka 50 kimkataba. Inasikitisha sana kuona kuwa kuna watu wanam-support eti kafanya vitu vizuri. Safari ni ndefu sana Africa, haswa kwa Tz.

JK NI FISADI TUMESHAJUA HILO!WATU WASIPOTEZE MUDA!
 
Hao wanaolalamikia TANROADS HAWAKUSOMA HII THREAD?
MODS IRUDISHENI KWENYE JUKWAA LA SIASA HII!
PLS.
 
Back
Top Bottom