hapa kama anasema ......... 'Duh kweli nimemis sana raha za mjengoni...inji hii tamu
sana'!
Source: JIACHIE
jamani huyu mzee sasa mnataka kumwua kabla ya muda. Kwa nini amepewa majukumu magumu ya ubunge wakati afya imdedorora hivyo. Ilitakiwa sasa awe hospitali na siyo mjengoni. Watu wa Vunjo hammtendei haki kabisa huyu mzee