Ngomo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 200
- 95
kuna tetesi mbeya kwamba mwenge wa uhuru utawashwa mwaka huu mbeya katika taasisi ya sayansi na tekinolojia na ataye washa ni mzee wa chalinze JK. baada ya kupumulia mashine kwenye uchaguzi kaamua kuwapoza watun wa mbeya kwakuwasha mwenge pale na kutangaza rasmi MIST kuwa chuo kikuu cha MUST yaani Mbeya University of Science and Technology.