Elections 2010 JK Kuongoza Mashambulizi: Kumg'oa Ndesa, Kumgalagaza Mbowe na kugomboa Karatu!

mnabwabwaja weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ili mje muibe kura, hakuna kitu mwaka huu.
JK mwenyewe khali mbaya sana,mnaompa moyo sijui mtamuambiaje atakapoona hana kura hata moja baadhi ya vituo. wachichiem kibao wanaapa kumnyima kura halafu aende kutetea jimbo la uchaguzi!!????
chadema sasa hivi wanafanya mahesabu ndo maana vigogo kama akina mbowe,ndesa,zito n.k wanasaidia baadhi ya maeneo baada ya kuona mauzo yanshafanyika asubuhi.
mwambie mkuchika,chiligati,kilango waende kupiga tough nje ya majimbo yao uone kama hawataku............,.....wamebanwa hadi wanajuta kwa nini wapo huko mafisadini
 

Heshima kwako Nyambala,

Najua kilichokukera ni hizo Noah kama utabisha muulize Pasco jana alipita Levolosi tukate mzizi wa fitina.Mkuu Nyambala hizo ni mbinu za kampeni ambazo zimemsaidia sana Lema hazikatazwi labda kama unamtazamo mwingine.Hivi umewahi kuwaona wale wacheza kamari karata tatu mbinu wanazotumia ni hizi hizi.
.
Kusema kweli mimi siwezi kujua trend ya nyuma, nimesema tuu nilichoona ona jana, mkutano wa Lema na Burian kwa siku ya jana Arusha Mjini, CCM ilifunika japo nakiri ni kweli CCM imetumia nguvu kubwa sana ya kampeni, lile gari kubwa ndio la TOT. Barabara ilijaa magari kupita ilikuwa ni shughuli, na kikubwa zaidi, Dr.Burian ame gain confidence ya public speaking, sasa anaongea kwa kujiamini zaidi na sauti yake ina punch!, mwanzoni aliongea kwa kutojiamini, kama anatetemeka fulani huku akijiumauma sana tuu, things are changing.
 
Hivi huyu mgonjwa bado anajidanganya kuwa yeye ni mtaji wa CCM? Poleni mnaondelea kusikiliza porojo na mipasho ya mgonjwa wa taifa.


Sasa hivi hilo ni garasa sijui kwa nini hataki kuelewa huyu mchovu!! Eti anatudanganya kasoma uchumi mbona mambo yanaenda hobela hobela hivyo? Kwa Ndessa Pesa wanajisumbua tu wasubiri mpaka huyo mzee astaafu siasa ndo wabahatishe na bahati mbaya kwao chama kitakuwa kimekufa kama ilivyo kwa KANU au chama cha mzee Kaunda! hivyo jimbo la Ndessa hawatalipata kamwe!!!!!!
 
Ebwana wapenda haki na maendeleo, mmeona kilichotokea mwanza?
Hii inaonyesha dhahiri maji yamefika shingoni, na watatukoma mwaka huu
 
Back
Top Bottom