mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,624
Marksman,
Sipendi kuamini Rais Kikwete anaweza kufanya mambo ya hovyo kiasi hicho.Tafadhali tumpatie Rais wetu heshima anayostahili na ikiwezekana tumsaidie amalize awamu yake salama mambo ya kumzushia kwamba atakutana na wazee wa Dar ni siasa za maji taka.
etu HESHIMA kalale mbele weye