mangimkuu
Member
- Jan 2, 2011
- 11
- 0
Kweli watanzania tuna uelewa finyu, hivi inawezekana mtu kuchochewa kufanya vurugu bila sababu !!!!!!!
Tuache kuzungumza kwa unazi wa chama. Inatupasa tuelewe wazi kwamba vurugu za Arusha chanzo chake ni mabavu na ukatili wa serikali ya CCM kwa kutumia vyombo vya dola yani jeshi la polisi kukandamiza na kuibaka demokrasia ya watanzania wengi wanaoishi maisha ya chini na katika umaskini uliokithiri.Maandamano ni haki ya kila raia wa Tanzania, kazi ya jeshi la polisi ni kutoa ulinzi tu na kuhakikisha kwamba waandamanji hawafanyi fujo na sio kuzuia watu kuandamana. Kama jeshi la polisi lingetoa kibali cha kuandamana hayo yote yasingetokea. Hapa wa kulaumiwa ni serikali na siyo CHADEMA.
Tuache kuzungumza kwa unazi wa chama. Inatupasa tuelewe wazi kwamba vurugu za Arusha chanzo chake ni mabavu na ukatili wa serikali ya CCM kwa kutumia vyombo vya dola yani jeshi la polisi kukandamiza na kuibaka demokrasia ya watanzania wengi wanaoishi maisha ya chini na katika umaskini uliokithiri.Maandamano ni haki ya kila raia wa Tanzania, kazi ya jeshi la polisi ni kutoa ulinzi tu na kuhakikisha kwamba waandamanji hawafanyi fujo na sio kuzuia watu kuandamana. Kama jeshi la polisi lingetoa kibali cha kuandamana hayo yote yasingetokea. Hapa wa kulaumiwa ni serikali na siyo CHADEMA.