SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Katika vugu vugu la chadema kuendelea na maandamano nchi zima ambayo yameleta hofu kubwa kwa ccm na serikali yake, na pia kusababisha vyama vya siasa jana kukutana kwa dharura kutatua mzozo huo ila wamependekeza rais Jakaya Mrisho Kikwete kukutana na chadema na kuzungumza ili pawe na maelewano na chadema.
My take:
Sidhani kama Chadema na JK kutakuwa na maelewano kwani JK ameshindwa kujibu hoja za chadema na maisha yanaendelea kuwa magumu na uchumi unaendelea kudorora. Kama jana vyama vya siasa vilipokutana vilishindwa kuelewana je JK ATAWEZA?
My take:
Sidhani kama Chadema na JK kutakuwa na maelewano kwani JK ameshindwa kujibu hoja za chadema na maisha yanaendelea kuwa magumu na uchumi unaendelea kudorora. Kama jana vyama vya siasa vilipokutana vilishindwa kuelewana je JK ATAWEZA?