Wewe unataka afanye nini mbona unaripoti kitu ambacho unakipinga mwenyewe hakuna rais bora kama jk atafanya kile ambacho kimanufaa kwa watanzania.Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Darisalamu?
Wewe unataka afanye nini mbona unaripoti kitu ambacho unakipinga mwenyewe hakuna rais bora kama jk atafanya kile ambacho kimanufaa kwa watanzania.
ulitaka watanzania wote waalikwe jangwani au? katiba ni lazima ipige vita utumiaji wa viroba na gongo maana madhala yake ni makubwa sana mfano upeo wa ndugu yetu huyu.Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Darisalamu?
Mipasho ni utalaamu wa lugha tu, lakini kinachokusudiwa ni ujumbe ufike.Atakuja na mipasho huyo,,,hana jipya
Mkuu anaihutubia Tanganyika nimesikia maana zanzibar shein nae atahutubia pia.Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Darisalamu?
Manufaa kwake na fanilia yake na ma ccm,unadhani hatujui?Wewe unataka afanye nini mbona unaripoti kitu ambacho unakipinga mwenyewe hakuna rais bora kama jk atafanya kile ambacho kimanufaa kwa watanzania.
Rais wa kuendeshwa na matukio! Alilikoroga ngoja alivywe tu!