JK kuhutubia Taifa kesho

JK kuhutubia Taifa kesho

Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Dar es Salaam?

hao wazee atawapatia wapi? labda Morogoro maana dar kila mtu baby
 
Huyu mzee ana mbinunza kijinga sana zankuongoza..yaani wazee ndo nini
 
Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Dar es Salaam?

makaburi ya kinondoni
 
Huyo mtali hana wazo la maana isipokuwa pale usiku kwenye luninga saa 2 huwa kuna taarifa ya habari hapo nipo utakavo muuwona namna ya kujikuna kichwa mara pua mara kutunisha mashavu mara kucheka kwa sauti ndogo na kubwa yaani kila dizain utaziona yaani sawa sawa na mr beinn yule mchekeshaji wa ulaya na mwesho huwa hunena akili za kuambiwa changanya na za kwako na mizinga itapigwa 5o na yule wa mkoa wa unguja atapigewa 2 5 ina maana sawa kwa sawa
 
Asije akasema kama kawaida yao,"Muungano huu ni mzuri sana, usingekuwa mzuri usingekuwepo kwa miaka 50 sasa!" This is nonsense! Ukoloni ulidumu zaidi ya hiyo miaka 50, ndiyo tuseme ukoloni ulikuwa mzuri ndiyo maana ulidumu sana!!!!???? Mawazo yaleyale ya INTERAHAMWE ya Komba, Lukuvi, and the list goes on!!!!
 
Back
Top Bottom