JK kuhutubia Taifa kesho

JK kuhutubia Taifa kesho

Bunge la katiba litarudia lini, maana naona mavituz hayavutii kabisa. Kimsukule kwa sana. Bila ukawa hamna kitu.
 
Wewe unataka afanye nini mbona unaripoti kitu ambacho unakipinga mwenyewe hakuna rais bora kama jk atafanya kile ambacho kimanufaa kwa watanzania.

Inasaidia nini kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa? Ubora wa urais wa jk unaulinganisha na rais yupi? Mimi nikimlinganisha jk na watangulizi wake siuoni ubora wake! Ni kwasababu ya kinga aliyonayo kikatiba, vingine tungekuwa tulishamg'oa siku nyingi.
 
Inasaidia nini kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa? Ubora wa urais wa jk unaulinganisha na rais yupi? Mimi nikimlinganisha jk na watangulizi wake siuoni ubora wake! Ni kwasababu ya kinga aliyonayo kikatiba, vingine tungekuwa tulishamg'oa siku nyingi.
Huna jeuri hiyo ng'ombe wewe. Rais kikwete ni bora na hana mfano
 
Mizaha yake imetukosesha hamu naye kabisa...kwani ameshamaliza kukata mitaa?

Naonaga bora asipokuwepo,maana akiwepo hadi vidagaa vinakuwaga na wenge la ujeuri.
 
Sujihi kesho itakuwa zamu ya nani kupewa vipande vyake ....kama kawaida .......JAZZ BAND
 
Siri: UVCCM Inampango Wakuchoma tena Makanisa kama Ukawa watafanya mikutano Zanzibar.

Ndugu Wazalendo wa Zanzibar na Wale wa Tanganyika/Tanzania Bara ambao wanaipendelea Nchi yetu hii impya ya Tanzania kuwa na Umoja, amani, Utulivu na Muungano wenye Muundo wa Serikali 3 ambao utaondoa kero na manunguniko. Napenda kuwajuilisha kwamba nimepata habari kutoka kwa Sheha mmoja wa CCM ambae mimi ni jamaa yangu wa damu.
Amesema UVCCM wameanshaandaa Kufanya fujo visiwani ili Wa Wadis-rupt (wawaharibie) UKAWA pindipo kama watafanya Mikutano Zanzibar. Hoja hiyo inaaminika kuwa ni mpango mwengine kabamba wakutaka Kumshinikiza Maalim Seif na Ugaidi katika Chama chake CUF. HIvo Ile hoja ya LUKUVI kusema kwamba wanaogopa Serikali ya Kiislamu inaweza kujengwa zaidi hapo pindipo Makanisa mengine yatachomwa Visiwani..
Tunatakiwa tuichukue habari hii in a Serious matter niko mbioni kuipata barua waliojiandaa CCM na nitaiweka hapa kama itawezekana..
Nawasilisha Ujumbe.
 
Wewe unataka afanye nini mbona unaripoti kitu ambacho unakipinga mwenyewe hakuna rais bora kama jk atafanya kile ambacho kimanufaa kwa watanzania.

wewe na yeye mnafanana akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa
 
We mtu wacha uchochezi,
Nakuona unakazana kupost huu uchafu kila mahali,
Wacha kupotosha
 
JK anataka kuzungumzia na kuhamasisha kuhusu sherehe "zake" za Muungano, bila kwanza kufafanua Muungano huo ni wa nchi zipi, Zanzibar na ------------------------. Asije akasema uongo eti nchi ya pili ni Tanzania Bara. Hakuna nchi duniani inayoitwa Tanzania Bara iliyopata Uhuru 9.12.1961 !!!!!!!
 
Hivi ni nani aliyeuroga ulimi wa JK, kiasi kwamba kila hotuba yake, inazidi kuigawa nchi vipande vipande??? Halafu anajisifia, "Tumewapiga!!!" Hotuba yake ya kesho mtaiona, itazidi kuongeza mafuta juu ya moto!!!! Hivi hakuna wa kuzungumza badala yake, akatuepushia hotuba za shari za JK???????
 
Yuko wapi Mobutu Sseseko Kuku wazabanga?Yuko wapi Gadafi?
Yoko wapi Hosin Mbarak? Yuko wapi Alhasani Mwinyi?
Yuko wapi Ben Mkapa? Kalenda ilipofika wote walikoma kuwepo kwenye viti vya enzi. Mwaka mmoja uliyobaki sio milele , huyu naye atakoma tu! na hii longo longo yak e itatupwa kwenye tundu la choo cha shimo
 
Inasaidia nini kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa? Ubora wa urais wa jk unaulinganisha na rais yupi? Mimi nikimlinganisha jk na watangulizi wake siuoni ubora wake! Ni kwasababu ya kinga aliyonayo kikatiba, vingine tungekuwa tulishamg'oa siku nyingi.

wacha weee ! Unasema kweli ? Hebu sema THUUU .
 
Back
Top Bottom