JK is the best president

JK is the best president

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
596
Reaction score
309
Kuna aina nyingi sana za uongozi/management style ila hii ya JK nimeipenda sana. Nashauri ma CEO wa makampuni waitumie.And serious if you want your organization to be successfull then apply this one. JK ameweza kuwa frustrate watanzania na kila right yao wakaiona ni favor. Mfano Umeme usipokatika utasikia watu wanasema he leo vipi, maji hivyo hivyo, mafuta yakishuka bei hata shs 50 sherehe, sukari ikipatikana kwa urahisi watu wanasheherekea. Itafika sehemu hata mshahara watanzania wataona ni favor pia.
 
Napita tu hapa ntarudi baadae.
 
That is your perspective...but if you have management education/knowledge....probably will be from Kampala International University...where you can go with division four or three form four exam.... Would recommend to go back to the drawing board for management refresher course. However, you justified the argument professionally though.
 
Kuna aina nyingi sana za uongozi/management style ila hii ya JK nimeipenda sana. Nashauri ma CEO wa makampuni waitumie.And serious if you want your organization to be successfull then apply this one. JK ameweza kuwa frustrate watanzania na kila right yao wakaiona ni favor. Mfano Umeme usipokatika utasikia watu wanasema he leo vipi, maji hivyo hivyo, mafuta yakishuka bei hata shs 50 sherehe, sukari ikipatikana kwa urahisi watu wanasheherekea. Itafika sehemu hata mshahara watanzania wataona ni favor pia.
Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.
 
Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.

Mkapa alimuachia Shingapi hazina na leo zimo ngapi kwa kazifanyia kazi gani? Jamaa anafanya kila kitu in opposite way kama alivyosema NOT ENOUGH! Na kwa hasira ya Mungu anatunyima mvua na kuruhusu mapigo kwa Taifa kama surua ili tukome kwa ujinga wetu wa kuruhusu viongozi wachovu kuongoza nchi.

Sasa hivi wamefungulia Maghala ya chakula ya Taifa bila kusoma alama za nyakati kuwa huko mbele kuna njaa inakuja, siku maghala yatakapo kuwa meupe ndo joto ya jiwe tutaitambua! Amewaudhi viongozi wa Dini kwa kuwaambia wanafanya biashara ya madawa ya kulevya huku akiwachekea mafisadi! Ghadhabu ya Mungu inakuja!
 
matatizo ya umeme na maji jmk kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni jmk ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.
nimeogopa bun tuu! Ila wewe huna kitu kichwani au udini umekuzidi pumbavu mkubwa wewe!
 
Mkapa alimuachia Shingapi hazina na leo zimo ngapi kwa kazifanyia kazi gani? Jamaa anafanya kila kitu in opposite way kama alivyosema NOT ENOUGH! Na kwa hasira ya Mungu anatunyima mvua na kuruhusu mapigo kwa Taifa kama surua ili tukome kwa ujinga wetu wa kuruhusu viongozi wachovu kuongoza nchi.Sasa hivi wamefungulia Maghala ya chakula ya Taifa bila kusoma alama za nyakati kuwa huko mbele kuna njaa inakuja, siku maghala yatakapo kuwa meupe ndo joto ya jiwe tutaitambua! Amewaudhi viongozi wa Dini kwa kuwaambia wanafanya biashara ya madawa ya kulevya huku akiwachekea mafisadi! Ghadhabu ya Mungu inakuja!
Sasa hivi tuna akiba ya kununulia vyote tunavyohitaji kutoka nje kwa miezi sita ijayo (ni akiba kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki) aliwachiwa ya kutosha mwezi mmoja kama sikosei. Chakula tunacho maghalani hilo pekee ni jambo jema kabisa alilofanya JMK, unakumbuka njaa ya 2005 aliyowachiwa? Au umesha sahau? Akasema atafanya kila njia "hafi mtu kwa njaa". Leo hata kwa hayo bdo ni mbaya tu?
 
Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.

Aliyakuta lakini sio kama alivyoyakuta yeye, sasa yamezidi maradufu yake na Ufisadi umezidi maradufu yake bei ya chumvi na sukari alivyoikuta nitofauti alivyoikuta sasa imepanda kwa 100% au zaidi ya hapo. Kwa ufupi Kikwete ni Janga la taifa kwa watanzania na tukiendelea nae mpaka 2015 tutakuja kununua 1KG ya sukari kwa Tsh 5000. Mtawala mwenye kuleta mzaha kwenye maisha ya watanzania, kazi kuchekacheka kama ******** na kusafiri kama Mtalii au Christopher Columbus kama vile anatafuta nchi nyingine aitawale. Kikwete hafai kabisa kuwa hata mjumbe wa nyumba 10. Ni janga la kitaifa kuwa na mtawala kama Kikwete
 
MUNGU tusimfanyishe OVERTIME kusaidia kutatua yale ambayo katupatia uwezo wa kutatua wenyewe!!!! Mlimchagua wenyewe; issue ni kutorudia kosa next time ukichagua kiongozi wako
 
Back
Top Bottom