heee unamaanisha nini mkuu!may b bcz he is a doctor..... Lol
Sidhani kama nafasi hii ya huyu Mkuu akipewa mtu yeyote anaweza kufanya kama yeye. He is very exceptional!!
Hahahaha... Angalia na hiyo nyingine..
Msikivu kwenye nini...kama ukiniambia kwenye dili za kifisadi hapo nikuunga mkono, watanzania tuombe mungu hii miaka minne ishe salama tuondokane na balaa hili...si umeambiwa ni MSIKIVU.
Sidhani kama nafasi hii ya huyu Mkuu akipewa mtu yeyote anaweza kufanya kama yeye. He is very exceptional!!
Msikivu kwenye nini...kama ukiniambia kwenye dili za kifisadi hapo nikuunga mkono, watanzania tuombe mungu hii miaka minne ishe salama tuondokane na balaa hili...
Sidhani kama nafasi hii ya huyu Mkuu akipewa mtu yeyote anaweza kufanya kama yeye. He is very exceptional!![
exceptional?kazi mnayo hivi hamuoni aibu kusifia visivyosifika?
Siku moja atakuja kufunua akute sufuria tupu.