Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Mimi nafikiri ni heri ya wanyama huko porini wanaheshimiana maana hakuna awezaye kuzichezea ndevu za Simba lakini hapa Tanzania mpaka muuza petrol anaitisha serikali na inatishika,wezi wa UDA wanashindana kusema huku hakuna anayekamatwa,yaaani..jioni hii watu tukusanyike jangwani walau tushike tu mabango yanayosema JK ONDOKA MADARAKANI,JK STEP DOWN ili walau dunia ijue kuwa tumechoka na mhuni huyu,tapeli wa kikwere.