ni kweli mh. Huwezi kujificha milele. Hakuna nchi nyingine duniani rais anasemwa kwa mambo mabaya kama bongo na bado umenyamaza kana kwamba hakuna kinachotokea. Ni kwamba dhamira imekufa, huyasikii, hujali,jeuri, watakufanya nini auni kitu gani kinamfanya rais asiyeaminika kabsa na watu wake aendelee kubaki kimya na kutojitokeza kutetea hadhi yake au kuomba radhi? I hate you KJ for your irresponsibilitu