PICHA: Huyu hapa ndiye dereva aliyefariki katika ajali Iliyomuua Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
29,823
21,054
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna watu walikuwa wanauliza sana juu ya dereva aliyefariki katika ajali ambayo imechukua Maisha ya Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Soma Pia: Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

Wengine wakaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa mbona yeye hatajwi katika salamu za pole zinazotolewa.

Kwa wale mliokuwa mkiuliza jambo hilo nimewaleteeni picha na majina yake kama inavyoonyesha hapo katika salamu za pole kutoka Nishati.

Screenshot_20250413-222145_2.jpg
 
Kwahyo mpaka madereva wamejaza wa dini ile,hii awamu ni kiboko
Aisee, pole sana mkuu. Haya yanakuja baada ya kufeli no reform no election au ulikuwa hivyo hata zamani? Inasikitisha kweli na Kila siku nasema humu hawa chadema si wema kabisa kwa watu wa upande flani......lipo lililojificha.
Hapo huyo ni dereva tu, je ingekuwa ndo mkurugenzi wenyewe?!!!
 
Aisee, pole sana mkuu. Haya yanakuja baada ya kufeli no reform no election au ulikuwa hivyo hata zamani? Inasikitisha kweli na Kila siku nasema humu hawa chadema si wema kabisa kwa watu wa upande flani......lipo lililojificha.
Hapo huyo ni dereva tu, je ingekuwa ndo mkurugenzi wenyewe?!!!
No uniform No Erection
 
Aisee, pole sana mkuu. Haya yanakuja baada ya kufeli no reform no election au ulikuwa hivyo hata zamani? Inasikitisha kweli na Kila siku nasema humu hawa chadema si wema kabisa kwa watu wa upande flani......lipo lililojificha.
Hapo huyo ni dereva tu, je ingekuwa ndo mkurugenzi wenyewe?!!!
Ma CHADEMA yamejaa Udini tu vichwani mwao
 
Back
Top Bottom