Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,505
Rais Kikwete jioni hii amemtangaza rasmi Mhandisi felchesmi mramba kuwa mkurugenzi mtendaji wa Tanesco uteuzi ambao umeanza rasmi leo hii
Jamani ni nini hii?
Nilitegemea amteue Mhandisi Boniface Njombe kuwa Mkurugenzi Mtendaji.
Jamaa huyu anatisha kwa utendaji na ni mtu wa principles maishani mwake.
Hahongeki, hasaundiki, anachojua yeye ni kazi, haki bin haki.
Lakini anyway, penye miti hapana wajenzi.
Dah, jamaa kapata ulaji. Sijui ataweza kutuletea umeme wa uhakika? Au ndio itakuwa anapiga tu.
Yaani wewe n akili zako timamu unaishi kwa kuamini maneno ya Slaa?Shirika la ovyo sana, JK ni moja ya watu walioliangamiza kwa kuingia mkataba wa kifisadi na IPTL, akiwa ni waziri wa nishat na madini,
Mkuu, unaweza kutuwekea tuhuma za ufisadi za JK, kama ambavyo ilitajwa na Dr. Slaa pale mwembe yanga temeke?
Mkurugezi aanzie na hapo, kisha ashushe gharama za bei ya umeme.
Yaani wewe n akili zako timamu unaishi kwa kuamini maneno ya Slaa?
Ukiwa mkurugenzi wa TANESCO ni nusu ya kuwa mtuhumiwa wa ufisadi.
Tutatumia vibatariDah, jamaa kapata ulaji. Sijui ataweza kutuletea umeme wa uhakika? Au ndio itakuwa anapiga tu.
Ukisoma Mwanahalisi....oh sorry.. Mawio la last week linaeleza kuwa huyu jamaa yupo katika mgogoro na mwenyekiti wa bodi ya Tanesco Jenerali mst Robert mboma ambapo mboma anasema jamaa anatakiwa kuachia ngazi lakini anatetewa na katibu mkuu wa nishati bw maswi. Tafuta Mawio la last week lina habari ya kina ya huyu mtu
Ukisoma Mwanahalisi....oh sorry.. Mawio la last week linaeleza kuwa huyu jamaa yupo katika mgogoro na mwenyekiti wa bodi ya Tanesco Jenerali mst Robert mboma ambapo mboma anasema jamaa anatakiwa kuachia ngazi lakini anatetewa na katibu mkuu wa nishati bw maswi. Tafuta Mawio la last week lina habari ya kina ya huyu mtu
Jamani ni nini hii?
Nilitegemea amteue Mhandisi Boniface Njombe kuwa Mkurugenzi Mtendaji.
Jamaa huyu anatisha kwa utendaji na ni mtu wa principles maishani mwake.
Hahongeki, hasaundiki, anachojua yeye ni kazi, haki bin haki. Kuna wakati alifanya kazi mkoa fulani, wa kabila lake wakadhani atawasaidia na matatizo yao, aliwaacha hoi na kuwatimulia vumbi akiwabana na taratibu za utumishi wa umma.
Lakini anyway, penye miti hapana wajenzi.