JK atabiria wapinzani kushika dola!

Ametafuta pesa au amechukua toka mfuko wa Jamii tunakotunza fedha zetu sisi walalahoi?Ningependa Magufuli alifahamu hilo kwamba JK hajatafuta pesa bali kachukua kiinua mgongo chetu wafanyakazi waTanzania!
 
Rais Kikwete jana akizindua ujenzi wa daraja la Kigamboni aliwataka wapinzani wajifunze utamaduni wa kusifu yale mazuri yaliyofanywa na serikali ya CCM ili nao wakipata madaraka wafanye mara tatu maana ni lazima wataendeleza pale alipoishia yeye.

Naye Waziri wa ujenzi Dr. Magufuli akikubaliana na utabiri huo wa Rais alisema kuwa wanataka uzinduzi ufanywe na Rais Kikwete ili Rais mwingine ajaye asije kujivunia mafanikio hayo awe ametoka CCM au upinzani kwani fedha za ujenzi zimetafutwa na serikali ya awamu ya nne.

Wana JF je tunaweza kubashiri kuwa sasa serikali ya CCM imekubali yaishe? TAFAKARI!

Kama usemayo ni kweli basi si jambo baya. Ila huyu Magafuli na mdomo wake usio na breki huwa mara nyingine anaboa sana.

Ila naungana nao kuukubali ukweli wa kuwa awamu ijayo ya utawala haitakuwa ya CCM bali CHADEMA. Waonyeshe kwa vitendo ukubali wao huo!!!!
 
CCM kwa heri na ufe salama
Anajua anachokizungumza maana katika watu wenye ufahamu wa mambo ya ndani nchini kwetu na most informed person ni yeye....Anajua kwa 90% mpaka sasa CDM inachukua nchi na kwakua si mpenda mabavu anawaandaa wenzake ma-conservatives wakubali tu yaishe asije ishia kwenda the Hague na kuishi miserable life katika uzee wake....

Mheshimiwa Rais Taifa hili litakukumbuka kama utakubali kufanya smooth transition usije ruhusu wenye uchu wa madaraka wakakuchuza na mwisho laana kukuangukia ww wakati wao wakiwa wana starehe na familia zao...
 
Kikwete muda sii mrefu atakuwa sio mwenyekiti wa Magamba na kitambo kidogo atakuwa sio preidaa tena. Akiangalia safu iliyobaki ana conclude vilivyo. Hata Pinda aliimba muziki wa Peoples jukwaani juzi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Rais Kikwete jana akizindua ujenzi wa daraja la Kigamboni aliwataka wapinzani wajifunze utamaduni wa kusifu yale mazuri yaliyofanywa na serikali ya CCM ili nao wakipata madaraka wafanye mara tatu maana ni lazima wataendeleza pale alipoishia yeye.

Naye Waziri wa ujenzi Dr. Magufuli akikubaliana na utabiri huo wa Rais alisema kuwa wanataka uzinduzi ufanywe na Rais Kikwete ili Rais mwingine ajaye asije kujivunia mafanikio hayo awe ametoka CCM au upinzani kwani fedha za ujenzi zimetafutwa na serikali ya awamu ya nne.

Wana JF je tunaweza kubashiri kuwa sasa serikali ya CCM imekubali yaishe? TAFAKARI!

Yaani kama ni shule ungewekewa bonge la kosa...kwa hicho kipande cha habari ndio umeona ukipe title hiyo.
 
Rais Kikwete jana akizindua ujenzi wa daraja la Kigamboni aliwataka wapinzani wajifunze utamaduni wa kusifu yale mazuri yaliyofanywa na serikali ya CCM ili nao wakipata madaraka wafanye mara tatu maana ni lazima wataendeleza pale alipoishia yeye.

Naye Waziri wa ujenzi Dr. Magufuli akikubaliana na utabiri huo wa Rais alisema kuwa wanataka uzinduzi ufanywe na Rais Kikwete ili Rais mwingine ajaye asije kujivunia mafanikio hayo awe ametoka CCM au upinzani kwani fedha za ujenzi zimetafutwa na serikali ya awamu ya nne.

Wana JF je tunaweza kubashiri kuwa sasa serikali ya CCM imekubali yaishe? TAFAKARI!

Naona Magufuli anataka kutufanya majuha hizo hela kakopa nssf na hatalipa yeye kwa vyovyote vile,kwa hiyo kutuambia kazitafuta yeye si kweli ila atakayelipa ndiye mtafutaji.
Na hii ni sawa na chuo cha Dodoma kelele nyingi hela zenyewe hatujaanza hata kulipa hilo deni
 
Atakuwa anaandaa mazingira ya kupewa tuzo ya utabiri hapo baada ya uchaguzi 2015!.
 
Ni kitu obvious kuwa CDM wanaichukua hii nchi...JK katazama alama za nyakati.

Bwana Yesu asifiwe mtumishi! Usiache maombi maana ndicho kitakachomfanya shetani (ufisadi) aachie wafungwa katika magereza yake kuanzia wanasiasa, wataalamu, vijana watu wote waume kwa wake....

Nice to read you!
 
kwa hali hii tunayoishuhudia ya kuzindua miradi ya maendeleo inayofanywa na serikali, sioni kama kuna sababu tena ya kuunga mkono wapinzani. Nasema bayana kuwa CCM itaendelea kushika hatamu.

Kama hili ulitaki basi viambie vyama pinzani vikuongoze wewe na familia yako ila sio taifa.
 
Acha longolongo wewe!!! Hajasema hivyo, hayo umeongezea wewe tu.
Ni kweli kabisa, vyombo vya habari, vimemquote, akitamka hayo maneno. Mimi nadhani Usalama wa Taifa, wameshamhint, kuwa hiyo M4C, iliyowashwa na CDM,na kusambaa nchi nzima, hamna jinsi yeyote ya CCM,kuizuia na kushinda kwenye uchaguzi ujao, hata kama watasaidiwa na washirika wao Polisi na msajili wao Tendwa, sasa ameona akubali yaishe, kwa kuwaandaa kisaikolojia, hasa wana CCM, wafadhihina, ili wajiandae kuikabidhi nchi kwa Chadema, mwaka 2O15!!
 
Rais Kikwete jana akizindua ujenzi wa daraja la Kigamboni aliwataka wapinzani wajifunze utamaduni wa kusifu yale mazuri yaliyofanywa na serikali ya CCM ili nao wakipata madaraka wafanye mara tatu maana ni lazima wataendeleza pale alipoishia yeye.

Naye Waziri wa ujenzi Dr. Magufuli akikubaliana na utabiri huo wa Rais alisema kuwa wanataka uzinduzi ufanywe na Rais Kikwete ili Rais mwingine ajaye asije kujivunia mafanikio hayo awe ametoka CCM au upinzani kwani fedha za ujenzi zimetafutwa na serikali ya awamu ya nne.

Wana JF je tunaweza kubashiri kuwa sasa serikali ya CCM imekubali yaishe? TAFAKARI!
Nadhani atakuwa anaanza kutumia busara, kwa kuwa njia peke yake ya kuepuka yeye na genge lake la magamba kutopelekwa the Hague, ni kukubali matakwa ya wananchi watakayosema kwenye sanduku la kura 2015, lakini akijifanya mkaidi na kuwatumia kina Mwema, Chagonja na Kamuhanda wake, atakuwa anajitafutia trip ya chapu chapu ya kwenda the Hague. Naamini hapendi yaliyomtokea mwenzake Charles Taylor!!
 
Kama usemayo ni kweli basi si jambo baya. Ila huyu Magafuli na mdomo wake usio na breki huwa mara nyingine anaboa sana.

Ila naungana nao kuukubali ukweli wa kuwa awamu ijayo ya utawala haitakuwa ya CCM bali CHADEMA. Waonyeshe kwa vitendo ukubali wao huo!!!!

acheni bange za kujificha uchochoroni nyie,kuna thred apa inasema chadema kuwa chama cha upinzani daima itafute
 
Back
Top Bottom