JK asifiwa kuhusu OBAMA

Sasa hapo ingetokea Mzungu au Mgeni yeyote akajitahidi kuongea Kiswahili halafu akachapia kidogo wabongo wangemsifia sana kuwa anajua lugha. Lakini anapotokea Mbongo akaongea kingereza na kuchapia kidogo wabongo hawaishi kumpiga madongo.
 
Hii thread sasa imekuwa ya ubishani sijui kwa nini.Humu JF watu tunaonekana tunajua sana kuliko viongozi walioko madarakani,basi tukagombee ubunge 2010 sisi tuongoze kwa lugha zetu nzuri.Lakini pia kumekuwa na mambo mchanganyiko mengii,mi nasema hivi ni marais wangapi duniani wana PHD, na wangapi wana masters?Bush ana phd?Blair,n.k? katika uongozi phd sio kigezo wala masters ni upeo,nia na uwezo wa kuchanganua mambo.Kwanza watu wenye elimu ya kati ndio wanachangia zaidi maendeleo ya nchi kuliko hata hao maprofesa.Humu ndani kuna watu wamekiri kuwa bush mwenyewe anajua kama hajui kiingereza vizuri,lakini akhaa hatujamjadili,Hugo Chavez na wengineo,je,wana kasoro gani?

Taasisi ngapi zimeongozwa na maprofesa na madokta Tanzania na wameboronga?Hivi yule Balali si Dk yule?Lipumba wakati wa mwinyi si alikuwa mshauri rais uchumi,uchumi wetu ulikwendaje?Yodan Kohi,Msolla, kina msabaha n.k wote hawa jamani sio wasomi?Uongozi wa kisiasa hautegemei sana taaluma ya juu.

Nigeria ile ilivyopendeza hadi leo wala haijaongozwa na profesa,ni wanajeshi wenye elimu za kati tu.Hata Queen viktoria hakuwa na PHd wala mfalme Henry.Watendaji wa serikali ndio wanaotakiwa kuwa na elimu hizo za uzamifu.

Lugha ni chombo cha mawasiliano si chombo cha taaluma,inatosha mtu akiwasilisha ujumbe unaoeleweka kwa hadhira kusudiwa.Hao hao mnaosema hawajui lugha ndio hapa Uingereza wahadhiri wa vyuo vikuu asilimia 60.Tembelea vyuo vikuu hapa,utakuta wahadhiri warusi,wakenya,nigeria,waganda,watanzania,wajapan,waitaly,china,india na kwengineko ambao hapa neno wednesday wanatamka wenesday.Bush alimwelewa sana JK ila sisi makapuku huku ndio twataka kuwagombanisha.Kama hakumuelewa angemuuliza palepale jk una maana gani?au waandishi waliokuwapo pale wangeomba kuuliza swali la nyongeza.Kwanza waandishi wetu wenyewe mbona lugha lugha walizotumia hazikuwa makini sana?

Mi nadhani kama ni Rais tunahitaji Rais aliyekwenda shule,lakini sio lazima phd au masters,mwenye lengo kweli la kuleta maendeleo,kwa kupambana na ufisadi,rais aliye na upeo wa kuchanganua mambo na mwenye mtazamo mpana ambaye anaweza kuperform.Hatuhitaji Rais anayeongea best english lakini form four au six, au hata kama ana elimu nzuri hana nia yoyote ya kuleta maendeleo zaidi ya kutufilisi.

Watu wanaojua kwamba rais wetu kiingereza si lugha yake ya kwanza hawatashangaa akikosea muundo wa lugha au pronounciation ya neno au hata fonolojia yake.Ila wababaishaji wa lugha ambao kiswahili hatujui vizuri na kiingereza au kifaransa hatujui vema ndio tutahangaika sana na hili.Hapa Jf mtu anaweza kuandika kiingereza kizuri na sote tukamsifia kuwa anajua sana kiingereza kumbe sababu ni tu kwamba ana muda wa kutosha kufikiri na kuandika,pia kuangalia kamusi,kukopi na kupaste lakini tungekuwa na mdahalo wa kuongea kiingereza hapa halafu tukawa na majaji wanatusikiliza jinsi tunavyochangia hizi hoja na kutoa maksi,nadhani kati ya wanachama wote wa forum hii 4025,ni wanachama 200 tu labda wangequalify au hata wengine wangejitoa mapemaa tena wale tusio hata wategemea.

Changamoto ni kwamba kwenye forum hii tupeane kazi ya kutunga novel au hata kuandika article for publication juu ya masuala mbalimbali ili kuielimisha jamii kuliko kukaa hapa na kulumbana pasi kufikia hitimisho na hata wengine kufikia hatua ya kuquestion credibility za understanding za wenzao.
 
Nasisitiza english sio tatizo kwa wabongo tu,kwani english ni lugha ya uingereza tena sio yote ni England na wala sio UK.Mfano mzuri hebu oneni hili tangazo la hiki chuo,je,linawaita wabongo tu kujifunza kiingereza au na waafrika peke yao?tena hawa ni postgraduates na postgraduates ina maana masters na phd hapo mnasemaje?Hapo naona wanatajwa watu wa European Union,Undergraduate na postgraduates na international students.

To: "int-ug - International undergraduates" <int-ug@essex.ac.uk>; "int-pg - International postgraduates" <int-pg@essex.ac.uk>; "eu-ug - EU undergraduates" <eu-ug@essex.ac.uk>; "eu-pg - EU postgraduates" <eu-pg@essex.ac.uk>
Sent: Monday, February 18, 2008 4:57 PM
Subject: New Class in Academic Speaking

Dear Students,

New Insessional class:

When? Wednesday 2pm-4pm
Where? Room 4.137

Teacher? Chris Walklett

What? Social English

You will have the opportunity:

To look at the links between the English language and British
culture
To practise vocabulary like slang, euphemisms and idioms
To engage in 'cultural viewing' which could include jokes, comedy
sketches or songs.

The emphasis in this class is on non-academic English

Come and have fun and practise 'real'
English.


Feel free to go to class where you can register with tutor!
Best Wishes,
Lou Lessios

~~~~~~~~~~~~~~~
R.Lessios (Ms)
Teaching Fellow
In-Sessional Programme Leader
International Academy
University of Essex
Wivenhoe PK
Colchester
CO4 3SQ

Hivyo english kama zilivyo lugha nyingine hakuna mtu anayeijua kiusahihi ni mchakato wa kuendelea kuisoma kila siku yaani continuous process of leraning,esp spoken english.
 
Hapana bwana hili kosa ni dogo mno wala sio la kubebea bango. Wakati mwingine watz tunazidi kujishusha; mbona miafrika mienzetu huwa inapuyanga tu kiingereza tena inakosea sana tu lakini sisi tunakuwa too keen ndio maana matokeo yake tunakosa confidence ya kuongea kiingereza mbele za watu. Waangalieni wenzetu wa Nigeria wanakosea sana tu kiingereza tena pronounciation ni zero, lakni hawababaiki wanakwenda tu. Vilevile mbona tukikosea kuongea kiswahili hatu-mind vile lakini ikija kiingereza inakuwa issue, lugha ambayo to some of us ni ya tatu hata ya nne? Hapa napo tunahitaji ukombozi, uzuri wa hili tatizo kulitatua hatuhitaji dola za Bush, ni kubadilika kichwani tu basi!

Mkuu Kitila,
Ninakubaliana kabisa na wewe, iko haja baadhi ya watanzania wajitoe kwenye minyororo ya fikra duni.
Hebu niambieni, ingekuwa vipi kama JK angeaamua kuongea kiswahili kwenye muonekano ule (ambapo kwangu mimi nadhani sawia zaidi), nahisi angekuwa anashambuliwa zaidi ya hapa.
Najaribu kufikiria wakati ninapokuwa Japan, napata picha kamili ya maelezo yako hapo juu.

Tubadilike na tujiamini na sisi tufikie mahali inapofikia issue ya kitaifa tuseme 'together we stand'
 
I know

Kiongozi anatakiwa kuweza ku contain slips kama hizo, mwisho wake atatoa siri za serikali kwa Freudian slips kama hizo.

Wasiwasi umenipata sasa baada ya kusoma mitundiko yako kwenye suala hili inaonyesha una mawazo finyu.
Anyway endelea kujionyesha!!!!
 
Nimesoma hii thread, mwajua nimecheka sana? Watu wanakosoa sentensi moja ya kiingereza wanayodhani Kikwete alikosea, na wanafanya hivyo kwa kutumia sentensi nyingi zenye makosa! Hivi waweza kumkosoa mtu mtu mwingine katika kitu ambacho hata wewe mwenyewe si mjuzi vya kutosha? Au ndio kule kujiamini kupita kiasi hata kwa kitu ambacho hukijui vema, wajifanya kujua ili mradi tu usikike? Simsemi mtu mahsusi, lakini atakayeanza kujishuku na maoni yangu haya nitamtaka atuthibitishie hapa jinsi anavyojua kiingereza kuliko JK, na ninawahakikishia wale wanaojua kiingereza mtapata nafasi ya kucheka sana!
 
Kwa taarifa yenu, niliwahi kumsikia hata Nyerere akichapia; Mkapa, Mbeki, Obasanjo, Moi, Museveni na wengine wengi tu!!!!!

Mkuu hapo nakuunga mkono. Mimi mara nyingi tu niki-youtube "bush idiot" naona mara kibao anachapia Kiingereza, na inaonekana kuwa ni kiongozi wa US ambaye kwenye hotuba zake nyingi anazotoa bila kusoma kiingereza (grammar)kinapimpiga chenga. Mkuu wa kaya kweli alichapia aliposema "let [him] be a friend of Tanzania", hapa kwa maana fulani alikuwa na maana Obama, kwa sababu yeye ndiye him, sio her. Lakini kwa walioelewa hii inatoka na influence ya mfumo dume, na kuona kuwa maa nyingi wanaogombea ni [him] na sio [her], kwa hiyo mimi binafsi naona muungwana alichosema kilikuwa na maana yoyote atakayekuwa rais.
Tanzania tuna maajabu sana ya kupima uwezo wa kiingereza wa mtu kuliko hata waingereza wenyewe, ajabu sana!
 
Nachukulia thread hii kama ushahidi kwamba Watanzania tumeshusha matarajio yetu juu ya uwezo sio tu wa Kiingereza cha rais wetu, bali pia hata wa pia juu ya uwezo wa kufikiri wa rais.

Kama nilivyosema mwanzo, mchangiaji wa JF anaweza ku-afford kuboronga Kiingereza kwa sababu hachangii kama kiongozi ALIYECHAGULIWA au ANAYEWAKILISHA wananchi, bali kama mtu tu, tena anayetumia pen name.Kithuku point yako umeitoa kama vile watu kumlima Kikwete maana yake wao wanajiona wanajua zaidi, hii si kweli.Hata kama mimi sijui zaidi ya Kikwete kama Mtanzania ninategemea the best of everything from my president.Tofauti yangu na watu wengi humu ni kuwa watu wengi wana settle na mediocrity inayoonyeshwa, halafu kesho tukipewa mediocrity hii hii kwenye mambo ya ufisadi tunapiga kelele,mimi sitaki compromise.

Kuhusu pride ya Kiswahili, kama kuna mtu aliyekosa pride ya Kiswahili basi ni rais Kikwete.Yeye anaelewa fika kwamba kiingereza chake cha manati, yuko nyumbani, ana wakalimani wengi tu, halafu kaamua kuacha kutumia mkalimani ambaye angemfanya atumie neno sahihi la Kiswahili badala ya kujiaibisha kwa kutumia "excited" sehemu isiyofaa na tusingemshangaa hapa.

Mara nyingi maswala ya mawasiliano yanasababisha mambo makubwa kuliko watu wanavyoyachukulia.Kama mambo yenyewe ni haya tunategemea kweli Kikwete anaweza kwenda kwenye mikutano na kuwashawishi G8 wafute madeni? Wakati kuweka sentensi pamoja tu ni kazi na ana ego kubwa kiasi hataki kutumia mkalimani?

Don't downplay these things,kwa wenzetu they make or break political careers.
 
Mkuu hapo nakuunga mkono. Mimi mara nyingi tu niki-youtube "bush idiot" naona mara kibao anachapia Kiingereza, na inaonekana kuwa ni kiongozi wa US ambaye kwenye hotuba zake nyingi anazotoa bila kusoma kiingereza (grammar)kinapimpiga chenga. Mkuu wa kaya kweli alichapia aliposema "let [him] be a friend of Tanzania", hapa kwa maana fulani alikuwa na maana Obama, kwa sababu yeye ndiye him, sio her. Lakini kwa walioelewa hii inatoka na influence ya mfumo dume, na kuona kuwa maa nyingi wanaogombea ni [him] na sio [her], kwa hiyo mimi binafsi naona muungwana alichosema kilikuwa na maana yoyote atakayekuwa rais.
Tanzania tuna maajabu sana ya kupima uwezo wa kiingereza wa mtu kuliko hata waingereza wenyewe, ajabu sana!

Bongolander wahenga walisema "Usiige Tembo kunya utapasuka msamba".Salmin Amour Komandoo si mtu ninayependa kum-quote sana lakini on one occassion alivyokuwa kada wa CCM tu kabla ya kuwa rais alisema Mtoto wa Kimarekani akivaa jinsi lililochanika chanika hata kama ni masikini ataonekana anavaa hivyo kwa fashion tu, ukivaa Mtanzania utaonekana kituko.Bush in some respects can afford to be sloppy, he is not asking for monetary help from Tanzania, we on the other hand, as Mwalimu said, must run while they walk.

Sisi ndiyo tuna hiyo culture ya kutochambua vitu kwa undani na kuwapa watu benefit of doubt over and over again.Ndiyo maana kila mwaka wa uchaguzi tunawarudisha CCM.Sasa huyu bwana rais wetu katika kipande hicho kidogo tu kashachemsha mara tatu.Mara moja purely grammar (omission of "a" before friend) mara moja context (we are excited Dubya's term is coming to an end) na mara moja grammar/context (Let "him" be a friend of Africa/Tanzania). Yaani tunakubali kwamba kawaida tu muungwana anapeta tu? I am different in that I demand a different caliber of leadership.Na hata kama siko tayari kugombea political office bado hainiondolei nafasi yangu ya kuwa naonyesha makosa.
 
Lugha ni chombo cha mawasiliano si chombo cha taaluma,inatosha mtu akiwasilisha ujumbe unaoeleweka kwa hadhira kusudiwa

Augustoon,

Tatizo linakuja mpaka dakika hii nikijiuliza Kikwete alimaanisha nini kusema he is excited that Bubya's term is coming to an end sipati jibu.Sijui kama wewe ulimuelewa.Kwa hiyo kama alishindwa kufikisha ujumbe wake clearly kwa Mtanzania mwenzake ambaye nina "English as a Second Language" mindset, sijui hao wasiojua hiyo ESL mindset watakuwa wameelewaje.

Kwa hiyo mimi naona hata kwa hiyo minimalistic designation yako ya lugha, Kikwete bado amefeli.

Haya haya mambo ya kumpa pass Kikwete tuliyasema katika uchaguzi, kwamba Kikwete bomu na anahitaji kuwa exposed kuhusu weakness zake zote.Watu wakatuona spoilers, sasa tunaona anavyotupeleka kubaya.And still you have people giving him more passes and even congratulating him for handling Richmond correctly while he fought for his friend to be PM.

Kikwete is a mediocre president any way you cut it.And I will use every little opportunity to continue to expose his lack of competence in every aspect, including his lack of language skills even after graduating university and decades in the upper echelons of leadership, including a decade at MOFA.

When it comes to demanding the highest standards of leadership, I do not compromise.
 
Pundit,

..nimechanganyikiwa kidogo na hiyo sehemu niliyo-bold. may be i am reading too much? but, why is JK excited that Bush's tenure is winding up?

Nyani Ngabu,

..JK served as a Min' of Foreign Affairs for 10 good years. English, not swahili, is the official language of our government. He should have no excuse for not speaking good english.
Exactly.There's no room for broken English kwa wale wanaofahamu fika kwamba KAMA HUWEZI USIONGEE.Bush akikutana na Angela Markel,mwanamama huyo anaongea Kijerumani,akikutana na Putin,Mrusi huyo anaongea Kirusi,akikutana na Sarkozy,Mfaransa huyo anaongea Kifaransa,na hata huko Benini presidaa wao aliongea kifaransa.Kulikuwa na ugumu gani wa kutoa speech kwa Kiswahili?

Mwafrika wa Kike,

Kweli hili la rais Bush, mpeni JK sifa zake. Hata huku Europe sikumbuki kuona rais wa USA kakaa siku tatu kwenye nchi moja.

Nafikiri kuna Watanzania wenzetu wengi ambao wamefaidika na hiyo ziara yake.

Pamoja na kutokumpenda Bush, lakini hili la kukaa Tanzania siku tatu, mimi namshukuru na kuwapongeza wote waliofanikisha hilo.
Unakumbuka akina KARL PETERS walikaa Afrika miaka mingapi kabla hawajaleta Ukoloni?Endelea kuwa na furaha ya Bush kukaa siku tatu hadi hapo utapoelewa kwanini HASA alikaa siku zote hizo.Dont believe the hype brodha.
Sijakuelewa mkuu, english ni lugha ya 3 kwa wengi wetu na kujibu swali vizuri haijalishi kama lugha unayotumia umepatia au laaa ila tu kama umeweza kueleweka...
Hii ya kuanza kucheck hata spellings za jinsi JK alivyojibu kwa kiingereza sioni kama ina mantiki....
Again,hakukuwa na ulazima wa yeye kuongea Kiingereza kama hakipandi sawasawa.Hatuishi katika dunia ya kusifia nusu glasi ilhali kuna uwezekano wa kuwa na full glass.
Nyani Ngabu ,


I couldn't agree with you more , kiingereza sio lugha yetu kwa hiyo makosa aliyoyafanya Kikwete ni ya kawaida kabisa kwa mtu ambaye kiingereza sio lugha yake ya kwanza . Mbona Bush anaadmit ya kuwa hana matatizo ya lugha na mwenyewe analikubali hilo ! Kitu kimoja ninachoweza kusema ni kuwa Kikwete alikuwa na confidence ya khali ya juu this time , nadhani ni muhimu kuanza kutoa credit pale panapostahili .

Zaidi ya hayo nahisi watu hapa wana muda mwingi sana ndio maana wanaangalia kila sentence aliyosema Muungwana
Kwa vile Kiingereza sio lugha yetu,then why not speak Swahili,which JK has repeatedly vowed to promote?Just imagine,the world watching a leader of a nation they would like to embrace in the promotion of Swahili,only,to their disappointment,to see him speaking in some Broken English....Promosheni ya Kiswahili haiwezi kufanikiwa iwapo hata wachovu wa Kiingereza wataendelea kuking'ang'ania.
Asante sana nyani ngabu kwa hoja yako murua
Ifike wakati tuelewe kuwa lugha ya kuongea ni tofauti na lugha ya kuandika,hata wewe ukizungumza kiswahili leo wakati unahutubia bila kusoma popote tutakapoenda kuandika kazima tutaki-hariri ili kinyoke,isitoshe bush mwenyewe kiingereza anachoongea si kizuri sana,muhimu pale ni mawasiliano,je unaeleweka?hii kasumba ya kiingereza sahili inatufanya watanzania wengi tulio huku nje ya nchi tuogope kuonesha vipaji vyetu kisa tu kuogopwa kuchekwa eti hujui kiingereza.Hivi naomba niulize watu gani wanaongea kiingereza vizuri afrika,Nigeria,kenya,uganda,south africa au Egypt.Mwenzenu nikiangalia sana mfano wanageria naona wanaongea a language similar to english but they are very confident about it.
Haya wachina,warusi,wajapan je?hapa ulaya waafrika wabongo tunaonekana bora kuliko hao.Mfano mdogo tu,kwenye chuo nilichopo kuna kasumba ya kuwasubject international students whose first language isnt english wapigwe paper,hata kama una toefl ukishindwa unaingizwa darasani six month sambamba na masomo yako.
Wabongo wote tuliopiga hilo pepa tulitoka na A tukiwaacha wazungu na jamii zao.Je,hatujui english?tena wao native speakers wanaongea kibaya,kuliko sisi waambie waandike utacheka,yaani ni kama sisi kile kiswahili cha manzese na kariakoo,ndicho wao wanaongea na kuandika.They never speak formal english.
Kwa mantiki hiyo kikwete big up,watanzania tujiamini hasa huku ughaibuni,tusijishushe.Ok,wakuu tuendelee na hoja.
1.Kweli,muhimu ni mawasiliano na ndio maana wengine wanalalamika.Alivyochapia JK ametengeneza tafsiri kwamba anafurahi Bush kumaliza muda wake madarakani.
2.Kasumba kubwa zaidi ya Mswahili kung'ang'ania Kiingereza asichokiweza ni ipi?Ni colonial mentality inayotusumbua kwamba tukiongea Kiswahili mbele ya international audiance tutaonekana tuna mapungufu.Hata Wapalestina wenye hali ngumu wametupiga bao katika hilo (refer presss conference ya Bush na Abu Mazan)
3.Wanigeria unaowasifia,wanaunganishwa na Kiingereza like sie tunavyounganishwa na Kiswahili.Just like Kenyans na mataifa mengine yaliyoathiriwa na UKABILA.Only way to communicate with wenzao wa makabila mengine ni Kiingereza just like Mhaya anavyoweza kuwasiliana na Mpare kwa kutumia Kiswahili.KISWAHILI KIMETUUNGANISHA,KWANINI TUKIPUUZE HADHARANI?
4.What do you mean by Wazungu?Wafaransa ni Wazungu,so are the Germans,French,Polish,etc.Au ulikuwa unamaanisha WAINGEREZA?Well,kama ulikuwa unamaanisha baadhi ya Waingereza hawaongei formal English,then ulipaswa kufahamu kuwa formal haitarajiwi lugha inayotumika kwenye gazeti la The Guardian,kwa mfano,itumike kwenye pub.Lugha ni situational,ndio mana hata lugha anayotumia mbunge dodoma ni tofauti na anayotumia akiwa nyumbani na familia yake.Ukitumia INFORMAL ENGLISH kwenye exam utafeli,uking'ang'ania FORMAL ENGLISH kwenye pub huku jamaa ulionao ni wa kawaida tu utakimbiwa kama sio kudhaniwa unajifanya unajua lugha isiyo yako.Angalia hapa tofauti ya formal na informal language http://myhome.hanafos.com/~philoint/lecture/eng-data/formal-or-informal-1.htm
Kama hujiu Kiingereza ongea Kiswahili watu watakuwekea interpreters. Ukishaongea Kiingereza maana yake unajua Kiingereza na ukikosea tunakulima kama kawaida.
EXACTLY
 
Ukiona unaanza kusifiwa na vyombo vya marekani basi ujue kuna something wrong kati yako na raia wa nchi yako........

You said it well MWK! Remember there was a time Musharaf was a close friend to most of US media. While they are praising him for NOTHING Tanzanians are complaining about many scandals all over the place, and so far he has not done ANYTHING to satisfy many complaints from Wananchi.
 
Mlalahoi, you nailed it.

Outrage siyo tu kwamba Kikwete kaongea broken English, bali pia kadharau option ya kuongea Kiswahili ambacho anakielewa vizuri zaidi na asingeweza kuchemsha kitoto kama alivyofanya katika Kiingereza.

Kwa hiyo ni zaidi ya udhaifu wa kutojua Kiingereza vizuri, kuna udhaifu wa kuamua lugha gani atumie pia.
 
Kusema kweli tunataka kukuza tuu hii kitu, kama kachapia kachapia lakini ujumbe umefika na walengwa wenyewe wameupenda.

In my sentences I go where no man has gone before...I am a boon to the English language.
-- George W. Bush


Mnaopenda kudai source hii HAPA
 
Icadon,

Katika suala zima la Kikwete kuwa "excited" juu ya Bush kuondoka White House, message iliyofika ni ipi?
 
Swali lilihusu Obama, yeye katika kujiuma uma kajikanganya akaanza kusema

"Of course, people talk with excitement of Obama — well, our excitement is that President Bush is at the end of his term, and the U.S. is going to get a new President, whoever that one is. For us, the most important thing is, let him be as good [a] friend of Africa as President Bush has been."

Sasa hapa ni kama mgeni kaja nyumbani halafu siku ya kuondoka unasema I am so excited you are leaving, mgeni anaanza kujiuliza huyu jamaa alikuwa ananiona mzigo nini? Maana kwa kawaida watu marafiki husema "I am so sad to see you go"

Sasa Kiwete mnaosema message ilifika ni message gani? Kwamba the Kikwete administration could not stand Bush and could not wait to see him go?

Yaani Kikwete alishindwa kusema "We are saddenned to see a friend concluding his presidential term and getting ready to leave office".Au hata ku mute tu?
 
Swali lilihusu Obama, yeye katika kujiuma uma kajikanganya akaanza kusema



Sasa hapa ni kama mgeni kaja nyumbani halafu siku ya kuondoka unasema I am so excited you are leaving, mgeni anaanza kujiuliza huyu jamaa alikuwa ananiona mzigo nini? Maana kwa kawaida watu marafiki husema "I am so sad to see you go"

Sasa Kiwete mnaosema message ilifika ni message gani? Kwamba the Kikwete administration could not stand Bush and could not wait to see him go?

Yaani Kikwete alishindwa kusema "We are saddenned to see a friend concluding his presidential term and getting ready to leave office".Au hata ku mute tu?

304743908.jpg
 
Swali lilihusu Obama, yeye katika kujiuma uma kajikanganya akaanza kusema



Sasa hapa ni kama mgeni kaja nyumbani halafu siku ya kuondoka unasema I am so excited you are leaving, mgeni anaanza kujiuliza huyu jamaa alikuwa ananiona mzigo nini? Maana kwa kawaida watu marafiki husema "I am so sad to see you go"

Sasa Kiwete mnaosema message ilifika ni message gani? Kwamba the Kikwete administration could not stand Bush and could not wait to see him go?

Yaani Kikwete alishindwa kusema "We are saddenned to see a friend concluding his presidential term and getting ready to leave office".Au hata ku mute tu?

Huo ni ukweli aliouongea JK na wala hana haja ya kupaka mafuta na kuzusha, kichaka si anaondoka kweli? and why should anybody be "so sad" about him going?

"The ability to keep a cool head in an emergency, maintain poise in the midst of excitement, and to refuse to be stampeded are true marks of leadership." - R. Shannon

Roget's New Millennium&#8482; Thesaurus - Cite This Source - Share This
Main Entry: excitement
Part of Speech: noun
Definition: enthusiasm
Synonyms: action, activity, ado, adventure, agitation, animation, bother, buzz*, commotion, confusion, discomposure, disturbance, dither*, drama, elation, emotion, excitation, feeling, ferment, fever, flurry, frenzy, furor, fuss, heat*, hubbub*, hullabaloo*, hurry, hysteria, impulse, instigation, intoxication, kicks*, melodrama, motivation, motive, movement, passion, perturbation, provocation, rage, stimulation, stimulus, stir, thrill, titillation, to-do*, trepidation, tumult, turmoil, urge, warmth, wildness
Antonyms: boredom, dormancy, somnolence, tedium
Source: Roget's New Millennium&#8482; Thesaurus, First Edition (v 1.3.1)
Copyright &#169; 2008 by Lexico Publishing Group, LLC. All rights reserved.
* = informal or slang
 
Kwa hiyo mambo ya baniani mbaya kiatu chake dawa siyo? Hivi unajua unachosema au unasema tu? Unajua Bush na Kikwete wana deal gani kuhusu base za kijeshi?

Jamaa ni kituko.
 
Back
Top Bottom