Mbwiga_Plus
Senior Member
- Jan 5, 2011
- 163
- 42
JK alishuka KIA juzi jioni, mara baada ya kushiriki uchangiaji wa hospitali ya ccbrt huko Dar.
Alipitiliza kwenda Ngurdoto, akalala huko...Ngurdoto iko Maji-ya-Chai, eneo la nje kabisa ya Mji wa Arusha.
Asubuhi aliondoka hapo na Msafara, akapita eneo la Mianzini(Arusha Mjini) kwa kasi kubwa mno, moja kwa moja hadi Wilaya ya Longido, ambako alitoa takrima kwa Wafugaji wa huko.
Mida ya saa 9 aliondoka huko na kukata kona pale Tripple A, na kushuka Ngarenaro Msikitini, akarudi Kiwanja cha Ndege kISONGO akapanda ndege na kusepa zake Dar!
Swali:..JK ana nini na Arusha Mjini?...kwanini anawapita wapiga kura wake bila salamu kiasi hicho tokea alipochaguliwa, wakati kuna miradi mingi inahitaji kuzinduliwa?
JK, TUNAKUOMBA TEMBELEA Arusha...wewe ndiye rais wa nchi yetu yote, tunasikitika kuona unatupitiliza kama vile tumekuwa raia wa nchi nyingine!
Alipitiliza kwenda Ngurdoto, akalala huko...Ngurdoto iko Maji-ya-Chai, eneo la nje kabisa ya Mji wa Arusha.
Asubuhi aliondoka hapo na Msafara, akapita eneo la Mianzini(Arusha Mjini) kwa kasi kubwa mno, moja kwa moja hadi Wilaya ya Longido, ambako alitoa takrima kwa Wafugaji wa huko.
Mida ya saa 9 aliondoka huko na kukata kona pale Tripple A, na kushuka Ngarenaro Msikitini, akarudi Kiwanja cha Ndege kISONGO akapanda ndege na kusepa zake Dar!
Swali:..JK ana nini na Arusha Mjini?...kwanini anawapita wapiga kura wake bila salamu kiasi hicho tokea alipochaguliwa, wakati kuna miradi mingi inahitaji kuzinduliwa?
JK, TUNAKUOMBA TEMBELEA Arusha...wewe ndiye rais wa nchi yetu yote, tunasikitika kuona unatupitiliza kama vile tumekuwa raia wa nchi nyingine!