Unaweza kuta ni salamu si unajua watu wa kusini/Mbeya/Kyela/Malawi
huu ni utumwa wa kiafrica SIONI sababu yoyoteya mwanamke WA KIAFRICA kumpigia mtu yoyote magoti. NASEMA HUU NI UTUMWA NA IBABIDI UKEMEWE
anajidhalilisha tena sana. kwa hiyo ww mtu akikutukana matusi ya nguoni hupungukiwi na kitu sio?si kuabudiwa, ni vitu vya kawaida na vinaleta raha katika jamii. kwani huyo mama anapungukiwa na nini kwa kumpigie magoti mzee mkwere. Hiyo ndoo africa. I love africa.
hadi wanaume? au ni wanwake tu?Huku malawi hiyo kawaida tu watu wa huku wananidhamu ya owoga kwale huku hata mfanyakazi hawezi kuongea na boss wake akiwa amesimama hata boss wake awe mdogo ndo walivyo watu wa huku!
anajidhalilisha tena sana. kwa hiyo ww mtu akikutukana matusi ya nguoni hupungukiwi na kitu sio?
hadi wanaume? au ni wanwake tu?
huo ndio utumwa wenyewe ninaoupinga .....kuna haja gani ya mwanamke kupigia mwanaume magoti? si kama ukeketaji tu huu?Hapo umesema, najua makabila hata hapa tanzania, mwanamke anapiga magoti hata kwa kijana wa kiume aliye mzidi umri.