JK and Somalia, alihitajika kweli?

Mkuu kwa political and diplomatic clout hatuwezi kuwa sawa na Burundi.
Tatizo letu ni sawa na la Goodluck Jonathan (Nigeria), vile vile Third Row, ambaye Boko Haram wanamwendesha.
Tatizo langu ni JK kwenda huko wakati hana contribution ya maana, san sana ni kufikisha quorum kazi ambayo ingeweza kufanywa vizuri sana na Waziri Membe.

Du, we mkuu umeanalyse situation spot on.
Nimesoma Hilo gazeti na maoni haya yanashabihiana kabisa na comments za mwenye gazeti la East African la Leo.
Sijui Mzee JK na wasaidizi wake wanayapitia ?
 
mkuu unajibishana na taahira wa nini. kwake hata mistari inamatter.
Mkuu kuwa greti thinker ni pamoja na kuwa na uelewa wa masuala yanayoongelewa.
Ukiwa na uelewa huo na ukajua ndo unaweza kutoa mchnga wa maana.
Nakuwekea East African la tarehe ya jana 27/2/2012 ina semaje
Tazama vizuri hiyo picha na ipe chngamoto akili yako:

The pictures of the London meeting tell the story. The “high table” and front row in the photos was given, in addition to British Prime Minister David Cameron, to the regional power brokers in Somalia. Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi, Ugandan President Yoweri Museveni, and Kenyan President Mwai Kibaki, the “big boys,” were always together to the right in the front. Burundi’s President Pierre Nkurunziza, was often in a row or two back — by fact of his shyness, not lack of clout on Somalia. And to the left edge, the leader of one of the newer members of Amisom — Djibouti’s President Ismael Omar Guelleh.

In most of the photos, Museveni wears the arrogant bored look of someone who has nothing to prove. It was his moment of vindication.

Source: East African Newspaper(27/02/2012)



 
somalia wamegundua kuna mafuta mengi sana na wanaanza kuchimba kuanzia machi mwaka huu na somalia itakuwa kati ya nchi 10 bora kwa kuoa mafuta.
 
Tanzania ina ajenda ya siri na Al Shabab. Nchi za Kenya , Uganda , Ethiopia na Rwanda zina hasira mbaya na Tanzania. Mimi nimefutailia sana TV ya CCTV africa na kuona jinsi gani wakenya na nchi zingine za East Africa zinavyoiona Tanzania katika mgogoro wa Somalia. Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Kenya, mkangula, huwa haitaji Tanzania katika kukumbwa na madhara ya Al Shabab'. Yeyey hutaja nchi zote za ukanda huu ila Tanzania tuu haitajwi.

Hii ndiyo sababu watwala wa afrika mashariki hawakuja kuhudhulia sherehe zetu za miaka 50 ya uhuru. Je Tanznaia ni mshabikia Al Shabab?
 
Back
Top Bottom