JK and Somalia, alihitajika kweli?

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,256
610x.jpg


LONDON - FEBRUARY 23: Delegates pose for a group photo during the Somalia Conference at Lancaster House on February 23, 2012 in London, United Kingdom. Britain's Prime Minister David Cameron has invited US Secretary Of State Hilary Clinton, UN Secretary General Ban Ki Moon and representatives from over 40 governments to participate in the London Conference on Somalia, to discuss the rebuilding of Somalia and the tackling of piracy, terrorism and famine.

My Take:
Please look at the picture carefully and if you are lucky you may be able to spot our dear JK.
He is in the THIRD ROW back in the non essential invitees, while Kibaki and Museveni have stayed their ground in the front row.
Je najiuliza , ilikuwa lazima kwenda huko kama hakuna mchngao wowote wala umuhimu wowote.
THIRD ROW BACK nafikiri ni kujidhalilisha na kudhalilisha Watanzania.
Hata kwa mambo madogo duniani Tanzania tulikuwa tunajulikana sana kwa msimamo unaoeleweka na dhabiti.
Kikao hiki cha Somalia, THIRD ROW ingemfaa zaidi Waziri Membe.


 

LONDON - FEBRUARY 23: Delegates pose for a group photo during the Somalia Conference at Lancaster House on February 23, 2012 in London, United Kingdom. Britain's Prime Minister David Cameron has invited US Secretary Of State Hilary Clinton, UN Secretary General Ban Ki Moon and representatives from over 40 governments to participate in the London Conference on Somalia, to discuss the rebuilding of Somalia and the tackling of piracy, terrorism and famine.

My Take:
Please look at the picture carefully and if you are lucky you may be able to spot our dear JK.
He is in the THIRD ROW back in the non essential invitees, while Kibaki and Museveni have stayed their ground in the front row.
Je najiuliza , ilikuwa lazima kwenda huko kama hakuna mchngao wowote wala umuhimu wowote.
THIRD ROW BACK nafikiri ni kujidhalilisha na kudhalilisha Watanzania.
Hata kwa mambo madogo duniani Tanzania tulikuwa tunajulikana sana kwa msimamo unaoeleweka na dhabiti.
Kikao hiki cha Somalia, THIRD ROW ingemfaa zaidi Waziri Membe.



Mkuu mbona namuona President Pierre Nkurunzinza yupo mstari wa nne. Kumbukumbu zinaonyesha kwamba Burundi ina majeshi yake huko Somalia kama sehemu ya Majeshi ya Afrika (UNISOM) ina maana kwa Nkurunzinza kusimama mstari wa nne basi alikuwa ni non essential invitee?
 
Mkuu mbona namuona President Pierre Nkurunzinza yupo mstari wa nne. Kumbukumbu zinaonyesha kwamba Burundi ina majeshi yake huko Somalia kama sehemu ya Majeshi ya Afrika (UNISOM) ina maana kwa Nkurunzinza kusimama mstari wa nne basi alikuwa ni non essential invitee?
Mkuu kwa political and diplomatic clout hatuwezi kuwa sawa na Burundi.
Tatizo letu ni sawa na la Goodluck Jonathan (Nigeria), vile vile Third Row, ambaye Boko Haram wanamwendesha.
Tatizo langu ni JK kwenda huko wakati hana contribution ya maana, san sana ni kufikisha quorum kazi ambayo ingeweza kufanywa vizuri sana na Waziri Membe.
 
Mkuu mbona namuona President Pierre Nkurunzinza yupo mstari wa nne. Kumbukumbu zinaonyesha kwamba Burundi ina majeshi yake huko Somalia kama sehemu ya Majeshi ya Afrika (UNISOM) ina maana kwa Nkurunzinza kusimama mstari wa nne basi alikuwa ni non essential invitee?

The same with Goodluck Jonathan. Mwenye kofia. Au macho yangu yanaona vibaya?
 
Mkuu kwa political and diplomatic clout hatuwezi kuwa sawa na Burundi.
Tatizo letu ni sawa na la Goodluck Jonathan (Nigeria), vile vile Third Row, ambaye Boko Haram wanamwendesha.
Tatizo langu ni JK kwenda huko wakati hana contribution ya maana, san sana ni kufikisha quorum kazi ambayo ingeweza kufanywa vizuri sana na Waziri Membe.

kweli kabisa kaka, membe peke yake alitosha kutuwakilisha, hata kama ulichek picha jana membe ndiye aliyekuwa anasign mkataba. Jk alikuwa amesimama nyuma Anakenua meno tu.
 
kweli aibu jamani...khaaaa ..mh huyu wa ethiopia ana akili hatari yaani akiulizwa swali na waandishi wa habari ana flow vibaya sana...sasa kazi kwa huyu wa kwetu anaulizwa mambo ya economics yeye anasema urefu wa barabara wakati wa uhuru ulikuwa kilometa 50...mara hand to mouth agriculture yaani anaokoteza okoteza tu maneno mradi yalete sentensi ya kizungu ....hahaaaaa mwanakwetu jk weeee kazi unayo
 
mmmmm... afadhali hata JK yuko 3rd row. Nkurunzinza nyuma kwa wasambaza chai na ma-file.! Lakini aliyeniacha hoi ni huyu kijana Goodluck Jonathan. Amekaa mkao wa kujifichaficha sana sijui anahofia Boko Haram watamuona? Kama sio hayo maguo yanayofanana na wale 'maaskofu' wetu na mikofia yake asingekuwa incognito!
 
Kazi kweli kweli akipika picha yupo line mbele anauza sura akipika yupo line ya nyuma anadhalilisha taifa...
 
610x.jpg


LONDON - FEBRUARY 23: Delegates pose for a group photo during the Somalia Conference at Lancaster House on February 23, 2012 in London, United Kingdom. Britain's Prime Minister David Cameron has invited US Secretary Of State Hilary Clinton, UN Secretary General Ban Ki Moon and representatives from over 40 governments to participate in the London Conference on Somalia, to discuss the rebuilding of Somalia and the tackling of piracy, terrorism and famine.

My Take:
Please look at the picture carefully and if you are lucky you may be able to spot our dear JK.
He is in the THIRD ROW back in the non essential invitees, while Kibaki and Museveni have stayed their ground in the front row.
Je najiuliza , ilikuwa lazima kwenda huko kama hakuna mchngao wowote wala umuhimu wowote.
THIRD ROW BACK nafikiri ni kujidhalilisha na kudhalilisha Watanzania.
Hata kwa mambo madogo duniani Tanzania tulikuwa tunajulikana sana kwa msimamo unaoeleweka na dhabiti.
Kikao hiki cha Somalia, THIRD ROW ingemfaa zaidi Waziri Membe.


Somalia na tanzania ni nchi jirani kwa ukanda wa bahari, meli za kisomali(maharamia) zimeshafukuzwa pwani ya dsm mara kibao, tanzania na south africa na mozambique zimeingia mkataba wa kupambana na wasomali. Tz ni nia ya wasomali kupita. pale mtaa wa kongo dsm kuna wasomalia kibao tena wanaongea kiswahili kukushinda wewe mzawa.
my opinion: hiyo picha is just a pose haina protocal concept. Simuoni Hilary mstari wa mbele. Mtoa hoja umetuharibia siku tu kwa leo.
 
Nimesikia kua eti TANZANIA imekubali maharamia wa SOMALIA wanaokamatwa washitakiwe TANZANIA...sipati picha kwanza hao maharamia wenyewe wanateka meli za nchi nyingi na hasahasa za ULAYA,UK,US JAPAN ASIA nk....sasa kwanini sie ndo tuwe na kiherehere cha kukubali washitkiwe kwetu? kwanini wanaowakamata wasiwashitaki ktk nchi zao? lazima tuelewe Somalia hii hali hawaipendi wamekua bila serikali miaka 17 hawana kazi,shule wala huduma za afya na moja ya sababu ni km LIBYA jinsi ilivyogombanishwa na wazungu na hatujui hatima yake kwani ata juzi LIBYA wamedundanda tena....my take JK ya Somalia waachie umoja wa mataifa na sio kutugombanisha na alshabab jifunze Nigeria Boko-haram wanavyowafanya
 
Jk taifa stars imemshinda mziki wa shaabab atauwezea wapi mwacheni ale bata iko siku ataruka ashwinde kutua
 
Ilikua muhimu JK kuhudhuria ktk mkutano huo. Watanzania wenzangu tutambue kwamba Somalia yenye vurugu inasababisha eneo lote la Afrika Mashariki kukosa amani na kuathiri uchumi.
 
Tatizo la huyu ni safari ya Ulaya! Siyo kuhusika au kuwa na mchango wowote. Ni wapi ameweza kutoa mchango wa maana?

Asingeweza kubaki wakati anaelewa mkutano uko London.
 
Ilikua muhimu JK kuhudhuria ktk mkutano huo. Watanzania wenzangu tutambue kwamba Somalia yenye vurugu inasababisha eneo lote la Afrika Mashariki kukosa amani na kuathiri uchumi.
Ndiyo nasema kazi hiyo anaweza kuifanya Membe at a cost benefit advantage, kwa hivi sasa tuna expose our lack of diplomatic clout kwa kumpeleka Mh Rais kwa mambo ambayo hana mchnga wa dhariri.
Pengine kama kuna kitu ambacho hatuambiwi, lakini kwa kukaa nyuma ya viongozi wengine inaonekana wazi kuwa Tanzania tunaenda jaza quorum tu.
 
Mkuu mbona namuona President Pierre Nkurunzinza yupo mstari wa nne. Kumbukumbu zinaonyesha kwamba Burundi ina majeshi yake huko Somalia kama sehemu ya Majeshi ya Afrika (UNISOM) ina maana kwa Nkurunzinza kusimama mstari wa nne basi alikuwa ni non essential invitee?
mkuu unajibishana na taahira wa nini. kwake hata mistari inamatter.
 
ina maana JK kamchukua na Mwakyembe kwenye msafara wake ili akatibiwe london maana mkofia mweusi huyo jamaa wamefanania na dr. mwakyembe au ni macho yangu..
 
610x.jpg


LONDON - FEBRUARY 23: Delegates pose for a group photo during the Somalia Conference at Lancaster House on February 23, 2012 in London, United Kingdom. Britain's Prime Minister David Cameron has invited US Secretary Of State Hilary Clinton, UN Secretary General Ban Ki Moon and representatives from over 40 governments to participate in the London Conference on Somalia, to discuss the rebuilding of Somalia and the tackling of piracy, terrorism and famine.

My Take:
Please look at the picture carefully and if you are lucky you may be able to spot our dear JK.
He is in the THIRD ROW back in the non essential invitees, while Kibaki and Museveni have stayed their ground in the front row.
Je najiuliza , ilikuwa lazima kwenda huko kama hakuna mchngao wowote wala umuhimu wowote.
THIRD ROW BACK nafikiri ni kujidhalilisha na kudhalilisha Watanzania.
Hata kwa mambo madogo duniani Tanzania tulikuwa tunajulikana sana kwa msimamo unaoeleweka na dhabiti.
Kikao hiki cha Somalia, THIRD ROW ingemfaa zaidi Waziri Membe.


Kwa wale mliokuwa mkifikiri nafanya utani na analysis ya picha hii hebu mjipatie copy ya gazeti la East African ya leo tar 27 Feb 2012. Page 6, body language ya picha.
Analysis ya picha inasema kweli JK alikuwa msindikizaji tu.
Jamani tuaaibika kimataifa.
 
Back
Top Bottom