JK anaharibu hadhi ya elimu kwa kujiita Dr. wakati siyo, pamoja na wanasiasa wengine

jamani Julius Nyerere alitunikiwa shahada nyingi sana za udaktari wa heshima wa falsafa (zaidi ya 20). Mkapa nanye hivyo hivyo. Mwingi naye hivyo hivyo, moja au mbili. Wote hawa hawajitukuza na kujiita Drs. Sijatahi kusikia Dr. Nyerere, au Dr. Mkapa, au Dr. Ali Hassan Mwinyi. Imekuaje kwa JK kujiita Dr. sawa na Dr. Bilal ambaye ameisotea PhD yake??? Pia wapo wanasiasa wengine kina mary nagu, kina mama lwakatare. sii vizuri kutuma elimu feki kama mtaji wa kisiasa.
Tafadhali ikulu na vyombo vya habari hacheni mara moja kumwita kikwete Dr pamoja na wanasiasa wengine, wakitaka waende darasani kama Dr. Magufuli, mnaharibu maana na dhamani halisi ya elimu. This is too dangerous for the young nation such as ours

Ww sio mtanzania na waonyesha hata kiswahili chetu hukijui vizuri, tuache watanzania tumwite rais wetu tunavyopenda ! acha wivu wa kike
 
kwako doctor ni Padri tu.ingawa hatujui ni udaktar wa nini.achen chuki na ufupi wenu wa fikra.mbona mnataka kumtangaza Nyerere kuwa mtakatifu na watu hawahoji? Hiki n cheo cha heshima acheni chuki zenu.

Dr. Slaa na Mwl. Nyerere wanahusiano gani na thread hii? Udini hautatuondoa katika umaskini. Udini unatumiwa na watu walioacha kufikiri.
 
Jamani waacheni wajiite wapendwavyo kwani hizo hadhi wanapewa watu wanaokidhi viwango fulani vya uelewa kwenye mambo fulani nasi tutawapima uwezo wa uelewa wao kisha tutaamua nani dokta na nani msanii.................:mvutaji:
 
Ww sio mtanzania na waonyesha hata kiswahili chetu hukijui vizuri, tuache watanzania tumwite rais wetu tunavyopenda ! acha wivu wa kike

Naona umeanza kupoteza dira............wasiwasi tutaanza kuvuana hata migolole yetu sasa:A S-confused1:
 
An honorary degree[1] or a degree honoris causa (Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university (or other degree-awarding institution) has waived the usual requirements, such as matriculation, residence, study and the passing of examinations. The degree is typically a doctorate or, less commonly, a master's degree, and may be awarded to someone who has no prior connection with the academic institution.
Usually the degree is conferred as a way of honoring a distinguished visitor's contributions to a specific field, or to society in general. The university often derives benefits by association with the person in question.

Notable people using the honorary prefix include:
  • Benjamin Franklin, who received an honorary master's degree from The College of William and Mary in 1756, and doctorates from the University of St. Andrews in 1759 and the University of Oxford in 1762 for his scientific accomplishments. He thereafter referred to himself as "Doctor Franklin." [3]
  • Peter Hollingworth, AC, OBE, Governor-General of Australia from 2001 until 2003, styled himself as "Dr Hollingworth" whilst holding that office. This was one of several controversies attending his tenure as Governor-General, since, although he held six honorary doctorates from Australian universities, it was (and remains) contrary to Australian tradition for the grantee of an honorary doctorate to use the title in public life. If there was any justification for this departure from convention, it lay in the fact that most persons previously appointed to the position already held a formal title - such as a British knighthood or peerage, or a military rank - whereas Hollingworth's previous title, "Most Reverend", derived from his former position as the Anglican Archbishop of Brisbane, and was considered inappropriate for a person holding an official position in a country which maintains a formal separation between Church and State. In any event, the situation was regularised on 21 May 2001, when Hollingworth was awarded the Lambeth degree of Doctor of Letters (DLitt) by the Archbishop of Canterbury, Dr George Carey, in recognition of his research, publications, teaching and achievement in the field of Christian social ethics, social welfare and poverty in Australia and episcopal leadership.[4]
  • Billy Graham is regularly addressed as Dr. Graham, though his highest earned degree is a BA in anthropology from Wheaton College.[5] He holds 20 honorary doctorates and has turned down nearly twice as many.[citation needed]
  • Ian Paisley holds an honorary Doctor of Divinity awarded by Bob Jones University, a conservative evangelical Christian college in Greenville, South Carolina.
  • Maya Angelou who calls herself and is referred to by many as Dr. Angelou despite holding no undergraduate or advanced (non-honorary) degree.[6]
  • Booker T. Washington is often referred to as "Dr. Washington" after receiving an honorary doctorate from Dartmouth College.
  • The University of Exeter has awarded honorary D.Litt degrees and subsequently referred to the recipients as Doctor.[7]
  • Terry Wogan has received an honorary doctorate from the University of Limerick, and refers to himself as "Doctor" on air.
  • Judy MacArthur Clark CBE (Chief Inspector of the Animals (Scientific Procedures) Inspectorate, former President of the Royal College of Veterinary Surgeons, and former Chair of the Farm Animal Welfare Council[8]) received an honorary doctorate of veterinary medicine and surgery (DVMS) from the University of Glasgow,[9] and refers to herself professionally as "Doctor".[10]
  • Ralph Stanley, the bluegrass artist, is referred to by many people[citation needed] and refers to himself as "Doctor" after being awarded an honorary Doctorate of Music from Lincoln Memorial University in Harrogate, Tennessee, in 1976.
  • Hunter S. Thompson, journalist and creator of Gonzo Journalism, received an honorary doctorate from the Universal Life Church in the late 1960s.[11] Thompson often insisted on the title, as did his alter ego Raoul Duke in Fear and Loathing in Las Vegas who claimed to be a "Doctor of Journalism".
  • Stephen Colbert received an honorary doctorate of fine arts from Knox College in 2006. Since then, the credits of The Colbert Report jokingly refer to him as "Dr. Stephen T. Colbert, D.F.A." (which uses both the title "Dr." and a postnominal, which is improper). The same title is used in a recurring segment on the show, in which Colbert dispenses dubious medical advice despite his degree being Doctor of Fine Arts.
  • Mirza Ahmad received an honorary Doctor of Laws from Manchester Metropolitan University in 2007. Since then, the credits of every document produced by Birmingham City Council refer to him as "Dr. Mirza Ahmad LLD (hon), MBA., LL.M, Barrister."
  • Rachel Carson received four honorary degrees after her best selling "The Sea Around Us" from: Pennsylvania College for Women; the second from Oberlin College in Oberlin, Ohio; the third from Smith College in Northampton, Massachusetts; and the fourth from Drexel Institute of Technology in Philadelphia.[12]
  • Jakaya Mrisho Kikwete, the current President of The United Republic of Tanzania, has often been referred to as Dr. Kikwete for his Honorary Degree received from the Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) in Tanzania.
In the United Kingdom the author and lexicographer Dr Samuel Johnson, who had some years earlier been unable (due to financial considerations) to complete his undergraduate studies at Pembroke College, Oxford, was awarded the degree of Master of Arts by diploma in 1755, in recognition of his scholarly achievements. In 1765, Trinity College, Dublin awarded him the degree of Doctor of Laws, and in 1775 Oxford bestowed upon him the degree of Doctor of Civil Law by diploma. It is unclear how much these degrees count as "honorary", though, as they were bestowed in recognition of a specific, undoubtedly substantial and original scholarly work, and one that was arguably far more deserving than many other doctoral theses submitted at the time.[citation needed]
The recipient of an honorary degree may add the degree title postnominally, but it should always be made clear that the degree is honorary by adding "honorary" or "honoris causa" or "h.c." in parenthesis after the degree title. In many countries, one who holds an honorary doctorate may use the title "doctor" prenominally, abbreviated Dr.h.c. or Dr.(h.c.). Sometimes, they use "Hon" before the degree letters, for example, Hon DMus.
In recent years, some universities have adopted entirely separate post nominal titles for honorary degrees. This is in part due to the confusion that honorary degrees have caused. It is now common in certain countries to use certain degrees, such as LL.D. or Hon.D., as purely honorary. For instance, an honorary doctor of the Auckland University of Technology takes the special title Hon.D. instead of the usual Ph.D. Some universities, including the Open University grant Doctorates of the University (D.Univ.) to selected nominees, while awarding Ph.D. or Ed.D. degrees to those who have fulfilled the academic requirements.
Most American universities award the degrees of LL.D. (Doctor of Laws), the Litt.D. (Doctor of Letters), the L.H.D. (Doctor of Humane Letters), the Sc.D. (Doctor of Science), the Ped.D. (Doctor of Pedagogy) and the D.D. (Doctor of Divinity) only as honorary degrees. American universities do not have the system of "higher doctorates" used in the UK and at other universities around the world.

Source: Honorary degree - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Jibuni swali. Anajiita au anaitwa?
Kiongozi anapokaa kimya wakati anapewa sifa asizostahili ni sawa na ameruhusu/amejiita. Mkapa alikataa mwanzo wa utawala wake tabia ya kinafiki ya kumuita rais 'mtukufu' iliyokuwa imechipuka wakati wa kipindi cha pili cha utawala wa mzee Mwinyi. Na hii ilisababisha hata vyombo vya habari vya Kenya kupunguza kumuita rais wao mtukufu (wao walikuwa mabingwa wa hiyo kitu, sijui siku hizi) Mtu yeyote mwenye uadilifu hataruhusu jamii ipotoshwe kwa kupewa visifa feki.
 
jamani Julius Nyerere alitunikiwa shahada nyingi sana za udaktari wa heshima wa falsafa (zaidi ya 20). Mkapa nanye hivyo hivyo. Mwingi naye hivyo hivyo, moja au mbili. Wote hawa hawajitukuza na kujiita Drs. Sijatahi kusikia Dr. Nyerere, au Dr. Mkapa, au Dr. Ali Hassan Mwinyi. Imekuaje kwa JK kujiita Dr. sawa na Dr. Bilal ambaye ameisotea PhD yake??? Pia wapo wanasiasa wengine kina mary nagu, kina mama lwakatare. sii vizuri kutuma elimu feki kama mtaji wa kisiasa.
Tafadhali ikulu na vyombo vya habari hacheni mara moja kumwita kikwete Dr pamoja na wanasiasa wengine, wakitaka waende darasani kama Dr. Magufuli, mnaharibu maana na dhamani halisi ya elimu. This is too dangerous for the young nation such as ours


Hujui cha bure huwa kitamu na huyu ni kilaza maana kuongozwa na vilaza kama hao ndo mambo tunayoyaona sasa mpaka nchi imefilisika bado wananchi kuuzwa tu
 
Binafsi huwa naboleka kusikia hiyo title. Acheni kumpa sifa za kijinga jamani huyo rais wenu.
 
Mbona sijaona watu wanalalamika kuhusu Dr Salim Ahmed Salim, au Dr Kaunda? JK si mtu wa kwanza kupewa Honoris Causa. Wala si yeye anayejiita Dr. Wanaomwita Dr, na hawakosei kwa kufanya hivyo ni vyombo vya habari.
 
Kwa ya kwanza leo nataka kumtetea JK, sijawahi kumsikia yeye mwenyewe akijiita Dr ila watu ndio wanamuita hivyo hususani ITV katika taarifa ya habari na wanasiaa wengine wakitaka kujikosha kwake hebu tutendee watu haki jamani
 
Kwa ya kwanza leo nataka kumtetea JK, sijawahi kumsikia yeye mwenyewe akijiita Dr ila watu ndio wanamuita hivyo hususani ITV katika taarifa ya habari na wanasiaa wengine wakitaka kujikosha kwake hebu tutendee watu haki jamani

Labda tuambiane mtu akipewa udaktari wa heshima hasitahili kuitwa Dr.? Kama anastahili basi tuache aitwe ila kama hasitahili na asiitwe. Hapa Tanzania kuna matatizo makubwa sana ya hii title ya Dr. manake hata waganga wa kienyeji nao ni ma Dr. Kuna Medical Doctors ambao hawana PhD nao ni Dr. badala ya MD na kuna Veterinary Doctors (VD) nao wanaitwa Dr. Ni mchanganyiko mkubwa. Nijuavyo mimi Dr ni mwenye PhD. Sasa sijui kama PhD ya darasani na PhD ya heshima zina abbreviation tofauti. Kama kuna tofauti ni budi watu wa accreditation watupatie ufafanuzi ikiwa ni pamoja na hao MDs/VDs kuanza na title ya Drs.
 
Nakwazika sana hata kama nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikisikia tu dr jm kikwete,huzima tv. Kikwete sio dr hajawahi kusomea duniani popote pale na hata some kamwe labda akiwa ahela.

Nongwa ni JK? mbona watu wengi tu wamepewa PhD na Uprofesa wa heshima hamhoji? ibua hoja za msingi.
 
Nadhani tatizo ni wale wanaomwita hivyo, nimengalia baadhi ya picha ambazo ni official yeye bado anajiita "Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete". lakini pia kuna PhD na hizo Doctorates za heshima. Nadhani ukiptata kuamua kujiita dr siyo mbaya na siyo kosa.
 
WIVU NI SEHEMU YA KUTOKUWA NA BUSARA; yeye kapata Dr. wa Heshima, acha kuwa na chuki binafsi na RAIS wako. Wapo wengi Dr. Mrema, Dr. Majimarefu, Dr. Kifimbo nk.

Mkuu hapo kwenye red, mimi nijuavyo Kikwete na Mrema wamepewa PhD za heshima; sina hakika kama Dr. (Prof.?) Majimarefu na Dr. Kifimbo kama nao wana za heshima ama wanajiita tu?
 
Jibuni swali. Anajiita au anaitwa?

Anajiita kwa namna moja au nyingine.Kama hataki aitwe hivyo si angesema watu wasiwe wanamwita hivyo.Mkapa alikataa kuitwa MTUKUFU RAIS kwa sababu hakutaka kujitukuza.JK ni sharobaro anapenda sifa zisizokuwa na msingi.Wanadhalilisha taaluma
 
Jamani mi nimeshajaribu kuwaambia kwa nini anajiita daktari, leo nawaonyesha kwa mara ya mwisho kwenye kiambatanisho hiki hapa chini.
 

Attachments

  • uzamivu wa uchakachuaji.docx
    64.1 KB · Views: 26
Kama kutunukiwa kwake heshima kulitokana na usuluhishi basi ingefaa apewe cheo cha juu cha wale wanaotoa suluhu katika mashauri, hivyo angepewa uhakimu ingefaa zaidi kuliko huo udaktari tusioona tija yake.
 
Kwa raha zao waache wamwite Dr ni upepo tuu wa kisiasa ie Dr Slaa,Dr Bilal alafu Dr Kikwete!
 
Back
Top Bottom