jk ni kama gia 1 haikai 2 haikai 3 inafyetuka
jk ni kama gia 1 haikai 2 haikai 3 inafyetuka
Ashakum sio matusi...kweli natamani jeshi lichukue nchi...potelea mbali liwalo na liwe!
Angel nimeipenda sana hii!!!manake haijulikani anafanya nini,hana vision,hujui anafikiria nn na atatenda nn,ni vurugu mechi.jk ni kama gia 1 haikai 2 haikai 3 inafyetuka
...sisi watu milion 42,000,009 wote ni madondocha katushinda mtu mmoja kumpuzisha duu wajukuu zetu watakuja kuchapa makaburi yetu
Msidanganye watu eti mko tayari kufa nyinyi ndio mnajazana kwenye mikutano siku ya kupiga kura hamuonekani,siku ya kuandamana mnapata dharura,kwenye keyboard majasiri shupavu !!!!"no way out" ikibidi ntakufa kwa ajili ya taifa langu ila ntaacha historia katika ukombozi kwa taifa langu"
Hapo kwenye red ni 94bil. plus gharama za kesi natakataka nyingine
ambapo ki uhalisia ni 111bil.tsh.
kinachoniuma ni mahakama iliweka masharti ya kuwa DOWANS
hawaruhusiwi kufanya chochote bila ruhusa ya mahakama ila
cha kushangaza wakajiuza kwa SYMBION bila ya ridhaa ya mahakama.
leo hii mahakama hiyo nayo inatoa hukumu dowans ilipwe mimi sielewi
na sipendi kutoamini kama hakuna rushwa au mkono wa mkulu!!
..Na huyo Mwarabu kweli amemtusi Kikwete hivi katika vitu vyoooote alivyofikiria kumhonnga akaona ni suti tu?? Mh! Hawa waraabu bana wana mambo mengi sana isije kuwa muonekano wa JK jamaa kavutika nao akaamua kumhonga suti..mh!!Dahhh kwa kweli ni full magumashi, akivaa suti alizohongwa na kijana wa kiarabu unaona kweli kiongozi tumepata kumbe hana lolote maskin ya mungu, ubabaishaji mtupu, kuwa na kiongoz wa hivi ni mzigo kwa taifa, yan 2015 ni kama karne kwa watanzania.
Hata mimi nashangaa sana, yaani umeme hatuna halafu tena tunaenda kulipa watu matapeli bila sababu ya msingi. Ningekuwa mimi nisingekubali kutoa fedha hizo hazina maana ni mzigo usiobebeka.
Kiongozi anayejivunia kuwa suti zake ananunua london sijui duka gani.wakati wanannchi wake wako hoi bin taaban.sijapata ona hii kwa kiongozi anayejali wananchi wake!Dahhh kwa kweli ni full magumashi, akivaa suti alizohongwa na kijana wa kiarabu unaona kweli kiongozi tumepata kumbe hana lolote maskin ya mungu, ubabaishaji mtupu, kuwa na kiongoz wa hivi ni mzigo kwa taifa, yan 2015 ni kama karne kwa watanzania.