Jk amwapisha waziri mwandosya ikulu hii leo

Apr 30, 2012
21
7
MWANDOSYA.JPG
Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais asiye na wizara maalum Profesa Mark James Mwandosya akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dsm leo asubuhi.
 
Li Inchi linaliwa hili!!!!!!!
Kulikuwa na ulazima kuwa na waziri wa aina hii ktk kizazi hiki?
 
Huyu mwandosya si alisikika akimuomba kikwete amuache kwa sasa ili aendelee kujiuguza? kulikoni leo anaapa kuwa waziri asiye na ofisi?.
 
mwand.JPG

HApa ndio napata uhakika ni kweli MWandosya alitaka kupumzika, alipokataa Waziri Mkuu akaenda kumtembelea nyumbani kama kumbembeleza fulani hivi, na usikute hakuwepo katika kuapishwa wakati ule kwa sababu hii hii, ili kumfurahisha zaidi Rais amemuapisha mwenyewe, just a thought, ila kama kweli amefanyiwa mpaka kupata haya maradhi MALIPO YAPO HAPA HAPA DUNIANI, lazima Binadamu tuamini na kujuwa kuwa ipo siku sote tutaonja MAuti na tutaiacha Dunia hii, na kamwe hatujui wapi tunaelekea ! ashangaa sana watu kuwafanyia wenzao ubaya wa KUPITILIZA kiasi hiki...Mola tusamehe na utuongoze!
 
Mbona huyu professor amezeeka au tuseme amechakaa ghafla hivi? nini kinachomsibu huyu mtaalamu wa electronics? Ataweza kweli mikikimikiki ya uwaziri au kama vile hana wizara? nipo very much worried na afya yake!
 
POKEA NYENZO.JPG
Hapa Mweshimiwa Rais Dkt.Jakaya akimkabidhi Nyenzo za kazi Waziri Mwandosya.


ZUNGUMZA.JPG
Rais Kikwete akibadilishana Mazungumzo na Waziri Mwandosya mara baada ya kumwapisha hii leo!
 
View attachment 54399
Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais asiye na wizara maalum Profesa Mark James Mwandosya akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dsm leo asubuhi.

huwezi amini kuwa huyu jamaa alikuwa mpinzani mkubwa sana wa jk,
ccm wameshakuondoa kwenye ulingo wa wamapambano. your no longer Mwandosya!
 
nasikitika sana kumuona Prof. Mwandosya ktk hii hali....Sijui hata ni kwa nini aliingia kwenye siasa!Nakuombea kwa Mola akujalie afya njema na urudi pale mlimani kufundisha...
 
kumbuka wewe pia ni binadamu na hujui mungu atakupa mitihani gani katika maisha,hiyo sio sentensi njema hata kidogo,ogopa MUNGU!
 
Weka udhu maneno yako,kama Ugonjwa ni umauti basi we ni msukule.Ugua Pole Mzee Mwandosya!
 
Tetesi zilisikika kuwa Profesa aliomba kupumzika, kama ni kweli kwa nini analazimishwa?

Anyways, acha zibaki kama tetesi, maana naona anaapishwa!
 
Back
Top Bottom