JK ni mfa maji asiyeacha kutapatapa. Badala ya kuboresha mazingira ya ufugaji nchini yeye anakimbilia kuwapa ng'ombe!. Halafu eti ana degree ya uchumi kutoka UDSM!. Hivi JK anajua hata maana ya economic capability?.
Kama ningekuwa na uwezo ningefuta hiyo degree yake ya uchumi
Jey Key ni mtu wa fadhira ktk masuala ya kisaniii sanii, wazee wa East afrika wanakufa mbona hawapi hela zao:A S 100:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.