bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 496
Wana JF
Taarifa nilizonazo ni kwamba JK amemteua Bw. Assah Mwambene, Afisa Habari wa wizara ya mambo ya nje kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO.
Mwambene anachukua nafasi ya Clement Mshana ambaye alikuwa MAELEZO lakini sasa ni mkurugenzi wa TBC aliyechukua nafasi ya Tido Mhando.
Taarifa nilizonazo ni kwamba JK amemteua Bw. Assah Mwambene, Afisa Habari wa wizara ya mambo ya nje kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO.
Mwambene anachukua nafasi ya Clement Mshana ambaye alikuwa MAELEZO lakini sasa ni mkurugenzi wa TBC aliyechukua nafasi ya Tido Mhando.