JK amteua Mwambene Mkurugenzi wa MAELEZO

JK amteua Mwambene Mkurugenzi wa MAELEZO

bibikuku

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2011
Posts
832
Reaction score
496
Wana JF

Taarifa nilizonazo ni kwamba JK amemteua Bw. Assah Mwambene, Afisa Habari wa wizara ya mambo ya nje kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO.

Mwambene anachukua nafasi ya Clement Mshana ambaye alikuwa MAELEZO lakini sasa ni mkurugenzi wa TBC aliyechukua nafasi ya Tido Mhando.
 
Wana JF

Taarifa nilizonazo ni kwamba JK amemteua Bw. Assah Mwambene, Afisa Habari wa wizara ya mambo ya nje kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO.

Mwambene anachukua nafasi ya Clement Mshana ambaye alikuwa MAELEZO lakini sasa ni mkurugenzi wa TBC aliyechukua nafasi ya Tido Mhando.

Safi sana na JK na hongera sana Mwambene kwa nafasi uliyopata. Tunakuomba usafishe hii sekta ya habari kwani wengi wa waandishi ni makanjanja sio weledi, na uwaeleze kuwa hata habari ina mipaka yake, UHURU BILA MIPAKA NI SAWA SAWA NA WENDAWAZIMU, wasio taka kufuata maadili ya uandishi wafungieni km wakina Kubenea

 

Safi sana na JK na hongera sana Mwambene kwa nafasi uliyopata. Tunakuomba usafishe hii sekta ya habari kwani wengi wa waandishi ni makanjanja sio weledi, na uwaeleze kuwa hata habari ina mipaka yake, UHURU BILA MIPAKA NI SAWA SAWA NA WENDAWAZIMU, wasio taka kufuata maadili ya uandishi wafungieni km wakina Kubenea


Utafungia wangapi
maana unaweza kuwafungia wote mpaka na wewe ukajikuta umejifungia
maana huko ni kuwafanya watu wajiulize kile ambacho wewe umemfungia huyo mwandishi kilikuwa na athari gani
uhuru huo wa kutoa maoni upo kikatiba na huwezi kuuchukua bila kutoa nafasi ya kujitetea kwa yule mtu ambaye umemnyima uhuru huo
 
Utafungia wangapi
maana unaweza kuwafungia wote mpaka na wewe ukajikuta umejifungia
maana huko ni kuwafanya watu wajiulize kile ambacho wewe umemfungia huyo mwandishi kilikuwa na athari gani
uhuru huo wa kutoa maoni upo kikatiba na huwezi kuuchukua bila kutoa nafasi ya kujitetea kwa yule mtu ambaye umemnyima uhuru huo

Elewa nilichosema ' UHURU BILA MIPAKA NI SAWA SAWA NA WENDAWAZIMU' hata hiyo katiba imeweka uhuru huo sio kila kitu , USITUMIE KICHWA KUFUGIA NYWELE TU BALI PIA TUMIA KWA KUFIKIRIA.

 
Elewa nilichosema ' UHURU BILA MIPAKA NI SAWA SAWA NA WENDAWAZIMU' hata hiyo katiba imeweka uhuru huo sio kila kitu , USITUMIE KICHWA KUFUGIA NYWELE TU BALI PIA TUMIA KWA KUFIKIRIA.


naona unatumia nguvu nyingi sana kutetea kile ulichokisema
Hatubishani wala hakuna ubishi hapa ni kelewa katika kutokuelewana
So nenda tuu taratibu mkuu utafika na lengo lako litafanikiw a
Hata hivyo natumia kichwa changu kufikiri sio kufuga nywele
 
Assa Mwambene hongera sana kwa kuteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa MAELEZO.Sina shaka na uwezo wako.

Umakini wako ukiwa mambo ya nje nimeuona.Naamini urasimu na mizengwe pale Habari MAELEZO utaondoka.

Naamini utaweka utaratibu mzuri ili kuboresha pia tasnia ya habari na waandishi wasio na uwezo hawatafanya vibaya tena kuchafua hali ya hewa katika Tasnia hii.

Kwa moyo mkunjufu kabisa nakupa hongera kwa kuteuliwa.I wish you the best as you carry out your duties
 
Mchape kabisa mdini mkubwa huyo (vuta-nikuvute) yaani yeye hufikiria malumbano ya dini tuu,hapa tunahitaji majadiliano ya jinsi ya kuito nchi yetu ktk hali hii mbaya ambayo inmuathiri kila mtz wala haichagui dini.

mkuu it was simple, issue hapa tukiwa kama greatthinkers ilikuwa ni kujadili +ve au -ve ya huu uteuzi kutokana na uelewa wa kila mwana jf! tunauonaje huo uteuzi! istoshe uyo assah mwambene mwenye wengi humu ndo kwanza tunalisikia jina lake! mimi nimejiunga jf sina muda mrefu na nikwasababu nilikuwa nikisikia kuwa mpaka viongozi mblml wa siasa na nk walikuwa wakichangia na kulikuwa na weledi na elimu ya hali ya juu mtu naipat! ila nashangaa sijayakuta hayo! nimeambulia kutukanana na watu tu daily!
 
TATIZO LIKOWAPI? aliyetoka si kapandishwa na kupewa majukumu zaidi kuwa mkurugenzi wa TBC! sasa ulitaka tbc awe mkristo na maelezo awe mkristo! je! iyo nafasi alio iacha assah unajua ni dini gani kaijaza! mnafiki kafiri mkubwa wewe! udini unaunzisha mwenyewe!

safi sana ndugu, mimi nina wasiwasi na huyo jamaa ukiyemcout hapo juu maana anaonekana amekaa kidini zaidi bila kufikilia maendeleo
 
naona unatumia nguvu nyingi sana kutetea kile ulichokisema
Hatubishani wala hakuna ubishi hapa ni kelewa katika kutokuelewana
So nenda tuu taratibu mkuu utafika na lengo lako litafanikiw a
Hata hivyo natumia kichwa changu kufikiri sio kufuga nywele

Huyu jamaa ndo wale watanzania wanaofadika na maovu ya serikali na kutetea kila mavi ya serikali hata kama hayana msilahi ya umma.mabavu , sheria kandamizi, ubabe, kanuni za kupindisha ndo zinazohamasisha umma kuhoji kulikoni.hakuna nchi inayoweza kwenda kama ilivyo leo.Kila mahala vurugu tu.Ukiwa mtetea haki unakutana na wauaji kama usalama wa taifa.Ukitaka kuamsha umma uelewe unakutana na vibaka wa mtindio wa ubongo wanaotumiwa na nape na serikali dhalimu ya ccm.Tuende tutafute msitakabali wa nchi kwa maslahi ya umma na si masilahi ya chama.Kila mtu akidai haki kifo, mahakanani, kufungia asifanye kazi , vitisho .Kis mipaka ya uhuru kivipi?huku ni kubaka uhuru wa demokrasia kakatika kujenga nchi yenye utawala wa haki ya sheria na utawala bora unaozingatia masilahi ya umma.
 
safi sana ndugu, mimi nina wasiwasi na huyo jamaa ukiyemcout hapo juu maana anaonekana amekaa kidini zaidi bila kufikilia maendeleo

alafu mbaya zaidi watu wanaye mjua huyo assah mwambene wameifanya statement yake kuwa FALSE! mana kwa nafasi aliyokuwa nayo assah pale foreing si than kama ni rahisi kwa watu wa kawaida kumjua! na hata hiyo anayoenda pia huenda watu wasimjue sana! mana hili jina lenyewe wengi tumelijulia humu jf tena leo
 
Wana JF

Taarifa nilizonazo ni kwamba JK amemteua Bw. Assah Mwambene, Afisa Habari wa wizara ya mambo ya nje kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO.

Mwambene anachukua nafasi ya Clement Mshana ambaye alikuwa MAELEZO lakini sasa ni mkurugenzi wa TBC aliyechukua nafasi ya Tido Mhando.

Ok Assah aliishi Nje ya nchi kwahiyo anajua UHURU WA WAANDISHI WA HABARI; FREE THEM - NCHI itakuwa SALAMA

NA MAFISADI na WAWEKEZAJI UCHWARA... Kwahiyo FREE MWANAHALISI!!!
 
Nchi haitajengwa kwa mitazamo ya udini na ukabila. Tuangalie kama aliye teuliwa ana sifa za kupewa hiyo nafasi? historia yake ya utendaji ikoje? tutegemee nini toka kwake?
 
TBC aliyeibadlsha na kuwa na muonekano wa taasisi ya watanzania ni Tido mhando huyu jamaa mpya ndiye kila sku anafungia magezet pale maelezo sidhan kama ana uwezo na exposure ya kutosha kwa tbc pia nina waswas na huyu aliyekuwa foreign affair kaletwa kisiasa zote hizi naona ni mbio za urais 2012 cz hizo ni area nyeti kwa kuzuia au kuruhusu matangazo yenye threat kwa wapnzan wa nje NA NDAN YA CHAMA TUSUBIR UTENDAJI WAO TUONE...TIME WIL TEL
 
Elewa nilichosema ' UHURU BILA MIPAKA NI SAWA SAWA NA WENDAWAZIMU' hata hiyo katiba imeweka uhuru huo sio kila kitu , USITUMIE KICHWA KUFUGIA NYWELE TU BALI PIA TUMIA KWA KUFIKIRIA.


Kusema kuwa aliyemteka Ulimboka ni Rama wa ikulu ndiyo kuvuka mipaka hata kama kuna ushahidi?
Nilidhani kwanza serikali ingejitetea dhidi ya tuhuma zilizoelekezwa kwake kabla ya kuzichukulia hatua walioituhumu serikali!
Wafunge zote, awamu hii hata mawe yatasema!
 
Mkuu kuna watu wanaandika tu ili kuongeza idadi ya post..
Binafsi huyo ni shemeji yetu,mdogo wake kaoa kwetu hivyo mkuu VUTA-NIKUVUTE umeenda chaka.
Mkuu tupo Pamoja, lakini kuna haja gani kushadadia udini? Mimi ni Muislam safi, mambo ya udini udini hata kwa mambo madogo kama haya mimi sioni maana yake
 
Sasa hapo kapanda au kashuka maana sie wengine vyeo vya serikali tunaishia kwa rais,waziri,katibu wa wizara,wakurugenzi,mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya mengine yanatuchanganya
 
Mkuu tupo Pamoja, lakini kuna haja gani kushadadia udini? Mimi ni Muislam safi, mambo ya udini udini hata kwa mambo madogo kama haya mimi sioni maana yake
wanaudhi sana hawa watu mkuuIssue ndogo tuu wanaingiza maswala ya dini humoKwani dini yake ndio itasaidia utendaji wake wa kaziKuna watu hawana dini yoyote ila ni watendaji wazuri na kuna watu wenye dini ila hawafai kabisa kutokana na matendo yao
 
Back
Top Bottom