Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,243
- 44,524
- Thread starter
-
- #41
Ndio, inatokea sana hasa kwenye 'majeshi' (polisi, magereza, jwtz nk). Nadhani pia ni lazima tukumbuke issue ya performance kwenye nyadhifa uliyopo. Kama mtu ana poor performance sidhani kama ni busara kumopandisha cheo kwa sababu tu ni senior! Hili lipo hata kwenye sector binafsi - mtu wa chini anaweza kupanda vyeo kuwazidi hata wale waliokuwa senior kwake kama anaonesha good performance.
Hata hivyo lazima nikiri kwamba sina information kuhusu performance ya huyo JK mpya na wala wale ambao inaonekana 'wameachwa'.
Ndio, inatokea sana hasa kwenye 'majeshi' (polisi, magereza, jwtz nk). Nadhani pia ni lazima tukumbuke issue ya performance kwenye nyadhifa uliyopo. Kama mtu ana poor performance sidhani kama ni busara kumopandisha cheo kwa sababu tu ni senior! Hili lipo hata kwenye sector binafsi - mtu wa chini anaweza kupanda vyeo kuwazidi hata wale waliokuwa senior kwake kama anaonesha good performance.
Hata hivyo lazima nikiri kwamba sina information kuhusu performance ya huyo JK mpya na wala wale ambao inaonekana 'wameachwa'.
ina maana anamnyima haki yake au kile anachostahili kwa sababu ya umri wake? Kwanini basi asimuombe astaafu tu kuliko kumuacha aone jinsi anavyorukwa!?
ina maana anamnyima haki yake au kile anachostahili kwa sababu ya umri wake? Kwanini basi asimuombe astaafu tu kuliko kumuacha aone jinsi anavyorukwa!?
Mkuu, hapo inabidi kuwa mwangalifu. Kama kuna majaji wanaofikia 50 hivi na JK anamchukua mtu ambaye yuko below 20, unaweza kuelezeaje performance ya hao 1-20? Ni ujumbe gani anaowatumia hao ambao labda inaonekana kama wana poor performance? Nahisi kuna mwangwi mkubwa kwenye hili zaidi ya haya tunayoweza kuyaona kwa macho ya kawaida.
Mkuu, hapo inabidi kuwa mwangalifu. Kama kuna majaji wanaofikia 50 hivi na JK anamchukua mtu ambaye yuko below 20, unaweza kuelezeaje performance ya hao 1-20? Ni ujumbe gani anaowatumia hao ambao labda inaonekana kama wana poor performance? Nahisi kuna mwangwi mkubwa kwenye hili zaidi ya haya tunayoweza kuyaona kwa macho ya kawaida.
MKJJ nilikuwa nina swali especially kwenye highlight nyekundu...Je ulimaanisha kuwa Jaji Faki Jandu alikuwa wakili hadi mwaka jana ndio akapewa ujaji mkuu na mwaka huu(sasa) akapewa ujaji kiongozi? Je ina maana chini ya mwaka mmoja amepanda ngazi zote mbili toka alipokuwa wakili wa kujitegemea? If thats the case nina mashaka na madhumuni ya teuzi hizi....Tangu huu mtiririko wa kina Hosea,DPP na Chenge bila kusahahu mkemia mkuu.
Samahani kama nimetoka nje ya mada ila kuhusu hilo la Jaji kiongozi lina utata hapo kwenye kasi ya kupandishwa vyeo.
Sheria inasema jaji anateuliwa na Rais so, njia pekee ya kumuondoelea hii nguvu ni kubadili sheria. Hata hivyo suala la majaji karibu nchi zote duniani zinamuachia Rais au mkuu wa Nchi uwezo huo. Labda tuangalie kuwa jinsi gani akishamteua mtu basi mtu huyo athibitishwe na Bunge..
Wanasiasa mnaingilia uhuru wa mahakama? tutaongea sana hapa bila jibu lakini bado jambo ambalo litatupa mwanga ni CV yake ipatikane hapa kwanza including dini, kabila, chama gani etc kwani tusifiche ukweli huo ndiko tunakoelekea!
Wanasiasa mnaingilia uhuru wa mahakama? tutaongea sana hapa bila jibu lakini bado jambo ambalo litatupa mwanga ni CV yake ipatikane hapa kwanza including dini, kabila, chama gani etc kwani tusifiche ukweli huo ndiko tunakoelekea!
Mkuu MM
Kuthibitishwa na bunge itakuwa ndio BUSARA HALI YA JUU kuthibiti uteuzi wa viongozi wanaoteuliwa Direct na Presidwaaa.
Thnx
Hivi Jaji Josephat Makanja wa Mahakama Kuu mwenye uzoefu wa miaka 20 akiwa jaji alishastaafu?????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ila kitu kimoja mmekisahau, naona Rais JK alikuwa anataka kuweka "fresh ideas" kwenye system ya mahakama zetu ndio maana akaangalia nje ya system kwenye uteuzi wake.
Kwa uelewa wangu katika teuzi ambazo Rais anafanya, mara nyingi hupelekewa majina kadhaa (say matano) ya watu wanao-qualify kwa nafasi husika. Majina haya mara nyingi huandaliwa na taasisi husika na kupelekwa kwa Rais kwa uteuzi wa mwisho. Kwa mfano, inawezekana kabisa Rais alipelekewa majina matano ya watu ambao wanaweza kuchukuwa nafasi ya Jaji Kiongozi pamoja na CV zao(including their performance).
Ninachotaka kusema hapa ni kwamba kwa kawaida Rais hawezi kukurupuka tu na kumteua mtu (kwa sababu yeye binafsi hawafahamu watu) ni lazima kuna mchakato/mchujo ambao unaanzia ngazi za chini kidogo. Nimeshuhudia utaratibu huu kwenye uteuzi wa Vice Chancellors wa vyuo vikuu vya umma ambapo Rais anafanya uteuzi wa mwisho lakini kutoka miongoni mwa orodha ya majina yaliyowasilishwa kwake na chuo husika.
Sasa kama kwa mfano 'the judiciary system' yenyewe wameombwa wapeleke majina matano na la huyo bwana likawemo, naamini ana sifa zinazokubalika kuwashinda hao walioachwa.
Hata hivyo nakubaliana na wewe kwamba Tanzania 'lolote' linawezekana. 'Mawingu' yametanda kila mahali!
Rais Kikwete amemteua Jaji Fakihi Jandu kutoka Mahakama Kuu Iringa kuwa Jaji Kiongozi mpya kuchukua nafasi ya Jaji Salum Massati ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa.
Jaji Jandu alikuwa Wakili wa kujitegemea kama mwaka mmoja uliopita hadi alipoteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu na sasa kuwa Jaji kiongozi.
Jaji Jundu ameteuliwa kushika wadhifa wa ujaji kama miaka mitano hivi iliyopita akitokea katika Uwakili wa Kujitegemea. Alikuwa na ofisi chovuchovu sana pale Dar na mara chache alikuwa akienda Arusha kufanya kazi katika ofisi za uwakili za Mwale Advocates mara baada ya Wakili JJ Mwale kufariki.