Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Mh! Tukae kimya tutaitwa tuna wivu, majungu etc. HATARI.
Yusuph Idrissa Katela? NiPM mdogo wangu mi ni kaka yako mwenye tigo inayoishia na 376...ungefanya na hesabu ya faida zilizopatikana kutokana na safari hizo mkuu.
kwenye red...pamoja na watu wake.Takwimu sahihi za Jamii Forum ambazo hata mchambuzi /mwandishi mahiri Mbwambo (katika makala yake kwenye gazeti la Raia Mwema) amezitumia kuwa safari za JK nje ya nchi zimefikia 317..
Ukifanya mahesabu ya wastani wa siku 2 kila safari moja utapata siku 634 ambazo ni takribani miaka miwili.Ukifanya wastani wa Tsh 200,000,000 Tsh kama gharama kwa kila safari utapata 124,800,000,000/- .Tsh
Mungu Ibariki Tanzania