JK aliwakwepa Maaskofu Mwanza lakini Msuya....mmmmhhhhhhhhhh......

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
01_11_ha19wa.jpg

Rais Jakaya Kikwete (wa saba kulia) akipozi katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kushoto kwa Rais) katika hafla ya kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake. Wengine ni Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi (wa nne kulia) na wanafamilia wa Msuya. (Picha na Freddy Maro).
 
JK angelikuwa anawania Uraisi 2015 asingelikosa sherehe ya kumwapisha Askofu Mkuu wa jImbo la Mwanza lakini kwa vile hawanii tena...........aliona ni kheri amtume "TYSON" kwenda kule na kipande cha wosia.......................lakini ili mradi asikose matanuzi ya Cleopa........................................kutimiza miaka 80...............................ama kwa hakika .....it is use and dump policy..............
 
Jamaa anapenda pilau huyo.
Kasikia kwa msuya kuna pilau mbio mbio kakimbilia.
Arusha kuna misiba wala hajatia unyayo wake
Jmani tumsamehe huyu kiongozi wetu kwa kuwa alishapoteza mwelekeo siku nyingi!!
 
Saaizi anataptapa tu na kaamua kulipa fadhiri kwa waislamu wake..............jk feki
 
kwanini na wao wanamwalika, mimi nikiwa na kitu changu cha muhimu, simwaliki jk wala kiongozi yeyote wa ccm....wanini hao? mi nashangaa hata viongozi wengine wa dini wanavyojipendekeza kwa hao watu...
 
jamaa anapenda pilau huyo.
Kasikia kwa msuya kuna pilau mbio mbio kakimbilia.
Arusha kuna misiba wala hajatia unyayo wake

si alijifunza madrasa jinzi ya kuukunja ubwabwa,hana lolote huyo kujichekesha kama,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hivi ingekuwa raisi wa nchi nyingine angefanya kipi kwanza kushugulikia matatizo ama pilau,,
 
si alijifunza madrasa jinzi ya kuukunja ubwabwa,hana lolote huyo kujichekesha kama,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hivi ingekuwa raisi wa nchi nyingine angefanya kipi kwanza kushugulikia matatizo ama pilau,,

Sijui unataka kusema nini mkuu hapo....!!!!!???????????????
 
alikuwa anaogopa madongo ya maaskofu si unajua maaskofu hawamung'unyi manena, ingekuwa shame kwake kuzodolewa mbele ya kadamnasi akaamua amtume TYSON hata akitukwana poa.
 
kwa mtazamo wake birthday party ni bora kuliko habari ya maaskofu ambao wanafanya mambo ya kumpinga chini chini
 
Uswahiba umekuponza tena sana sasa malipo yake unalala ucgizi nusu unashidwa ata kuongea upo upo tu,ujulikan mbele wap na nyuma wap hakuna uhand some tena umefuria mjomba tehtehteh?
 
Back
Top Bottom