JK aitabiria CCM kifo

hata ccm ikianguka nani hasa wakuiongoza hii nchi? sioni. siipendi ccm ila sioni mbadala. wate wachumia tumbo na wengine hawajitambui kabisa. wasikini Tanzania. haina mtetezi.

Hii mbinu ya kusema hakuna mbadala ilishindwa Kenya na Zambia. Kenya walisema wengi KANU tu ndiyo inaweza kutawala Kenya. Kura zikapigwa, KANU ikaanguka, na nchi ikafaidika sana. Zambia hivyo hivyo: walisema wale wanaogopa mabadiliko ni UNIP tu ndiyo inaiweza Zambia. Kura zikapigwa, UNIP ikaangukia pua na Zambia ikaondoka kwenye lindi la kudidimia.

Sasa ni zamu ya CCM. Itoke tu, maana tumechoka.
 
Hii mbinu ya kusema hakuna mbadala ilishindwa Kenya na Zambia. Kenya walisema wengi KANU tu ndiyo inaweza kutawala Kenya. Kura zikapigwa, KANU ikaanguka, na nchi ikafaidika sana. Zambia hivyo hivyo: walisema wale wanaogopa mabadiliko ni UNIP tu ndiyo inaiweza Zambia. Kura zikapigwa, UNIP ikaangukia pua na Zambia ikaondoka kwenye lindi la kudidimia.

Sasa ni zamu ya CCM. Itoke tu, maana tumechoka.

Ni kweli kabisa mkuu. Hakuna chama kilichokuwa kina nguvu kama KANU lakini leo hii kipo kaburini. Ni zamu ya CCM sasa.
 
Mtahangaika sana kupotosha na kuchochea chuki dhidi ya jk, ila hamtaweza

Wewe muehu nini? Ni nani anayemchukia JK? JK ni JEMBE na tunampongeza kwa kusema ukweli na kuwa muwazi. Kama unamchukia, basi ni wewe na mama yako na mkeo!!
 
hata ccm ikianguka nani hasa wakuiongoza hii nchi? sioni. siipendi ccm ila sioni mbadala. wate wachumia tumbo na wengine hawajitambui kabisa. wasikini Tanzania. haina mtetezi.

Wewe tulia 2015 ndipo utamjua kinyozi wako div5 wee!
 
Rais Kikwete ametoa utabiri huo wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa CCM huko mkoani Mbeya. Alisema kwamba chama kimekithiri kwa ufisadi, dhuluma, rushwa, hongo, umangimeza na vitendo vingi vichafu suala ambalo linapunguza imani ya wananchi kwa chama na serikali.

JK alionya kwamba endapo chama hakitachukua hatua za makusudi kujisafisha, hakitavuka 2015 na akawatahadhalisha wanachama wake kujiandaa kisaikolojia kuchukua nafasi ya chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2015--kwa kuwa haoni dalili za chama kujirekebisha na kurejesha mvuto kwa watanzania kabla ya uchaguzi ujao.

Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya BBC leo asubuhi, kada maarufu wa CCM na ambaye ni mwenyekiti wa bodi ya madini, Bw Richard Kasesela, alikiri kwamba sasa hivi CCM ni kama gulio--mwenye pesa ndiye anayenunua uongozi. 'Watu wanatembeza pesa makanisani na misikitini mchana kweupe bila kuhojiwa wamezipataje hizo fedha', alihoji Bw Kasesela.

MY TAKE:
Ni afadhali wanaCCM mmeamua kusema ukweli. Vzr sana!

hapo kwenye red. kumbe jamaa anajua kinachofwata mbeleni. na amekubali chama kimfie mikononi mwake
 
Wakati mwingine Jakaya anaongeaga point,kama hili. Hongera sana rais wa ccm maana umewapa ukweli ccm wenzio japa wanajifanya hawaelewi vile. Haikika wajiandae kisaikolojia kuwa chama kikuu cha upinzani dalili zote za onesha.
 
Mwenyekiti wao ameshajua bado wafanyakazi wake wa buku 7 lumumba wakiongozwa na mwigulu,nape na kinana.mangula anaujua moto wa chadema ndio maana kazima kama taa
 
hapo kwenye red. kumbe jamaa anajua kinachofwata mbeleni. na amekubali chama kimfie mikononi mwake

hakuna jinsi mkuu--mafisadi wamemzidi nguvu na maarifa--inabidi akubali kimfie tu! magamba yameshindikana kuvulika, yamekwama kiunoni.
 
mkuu mawazo yako ni sahihi ila hujanipa mbadala wa hao magamba. hao unaowatolea mfano walikuwa very focused kitu mabacho sikioni kwa hizi saccos za hapa kwetu.

Hii mbinu ya kusema hakuna mbadala ilishindwa Kenya na Zambia. Kenya walisema wengi KANU tu ndiyo inaweza kutawala Kenya. Kura zikapigwa, KANU ikaanguka, na nchi ikafaidika sana. Zambia hivyo hivyo: walisema wale wanaogopa mabadiliko ni UNIP tu ndiyo inaiweza Zambia. Kura zikapigwa, UNIP ikaangukia pua na Zambia ikaondoka kwenye lindi la kudidimia.

Sasa ni zamu ya CCM. Itoke tu, maana tumechoka.
 
Back
Top Bottom