Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,769
- 54,208
- Thread starter
-
- #21
Afu kijana huyo uta msikia single mothers wana laana, Lina jisahau ujinga wake lilio fanya.Hizi dini pia zinachangia,
Mabint wanafundishwa kuzikataa condom, vijana wanaelekezwa kutokumwagia nje.
Huwez mwambia mtu asitumie Kinga na asimwage nje wkt mtu mwnyw anajijua kbs he's not committed to marriage. yaani "Hapa nasuuza rungu TU"
Matokeo yake Ni single mothers pamoja na watoto wa mitaani.
Mpe utamu pleaseLeo umeongea pointi mno tangu nikujue anko.
Natamani kukupa zawadi.
I mean no malice to nobody.
Hakika mkuu, ya nini matatizo ikiwa hujui wajibu wakoMi nasema,
"Sio kila mwanamke lazima umwagie ndani, imeshindikana piga TU nyeto Kama dronedrake "
Bro una zingua 😆Mpe utamu please
Sio lazima muwe ma don, ila kutambua na kuya chukulia hatua majukumu yenu ni Jambo zuri🙏tunasubiri tuwe financially stable ndiyo tuzae mkuu, Ahsante..!🤭View attachment 2973070
Hiyo zawadi Naomba umnunulie kijana yoyote wa mtaani chakula.Leo umeongea pointi mno tangu nikujue anko.
Natamani kukupa zawadi.
I mean no malice to nobody.
Maamuzi mengine ya Kipuuzi ni kuoa mwanamke ambaye utaishi naye kama dada wa kazi na nyongeza atakayokupa ya kukuzalia watoto na kukupa mbunye. Unaoa mwanamke hajui hata kutafuta hela ya chumvi wakati ambao wewe unatafuta Ugali na Mboga. Uzoefu unaonesha kuwa mara nyingi wanaume huondoka na mapema kutokana na misukosuko ya hapa na pale hivyo kama unamuacha mwananke na watoto ambao hawezi hata kuwatafutia paracetamu. Fahamu kabisa wewe pia utachangia kwa kiasi kikubwa kuongeza idadi ya watoto wa mtaani duniani.Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??.
jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome Sana.
Jua Kuna kitoto kina umia mtaani, kwa sababu ya ujinga na maamuzi yako ya kipuuzi.
Una jiita best dad, akati uli kataa mtoto na kumtelekeza aka teseke na mama yake halafu una fungua mdomo Eti I hate single moms(mzee hii dhambi ita ku hunt aidha kwa kujua au kuto kujua).
na wewe binti USI hisi niko hapa kutetea uzuzu wa mtu, ehh naongea na wewe bingwa wa kuchanua mapaja, kisa Ume ambiwa uta olewa au kupendwa sana.
ehh we si una jiona gold diggers a.k.a bingwa wa kutoa mimba, IPO siku ita nasa, halafu haita toka, na sijui uki mzaa uta mtupa huyo mtoto ka yule mwingine?
Ina sikitisha mnoo, watoto Hawa Wana ndoto ka hao wanao ulio nao Sasa.
Usha waza Ile saa mwanao au wanao Wana lala kwenye godoro la 5*6,
halafu Kuna wale watoto kula tu mtihani??, ndo Hawa wanao vizia waibe hapo kwako, Afu uta sema wezi wabaya big no ni matokeo ya ujinga wako tu.
aisee we better wake up Kama jamii, wajibika uki shindwa tumia Kinga, kihurumie kizazi kijacho.
I mean no malice to nobody
View attachment 2972996
Mzee una oa mke au una taka uoe financial patner ??.Maamuzi mengine ya Kipuuzi ni kuoa mwanamke ambaye utaishi naye kama dada wa kazi na nyongeza atakayokupa ya kukuzalia watoto na kukupa mbunye. Unaoa mwanamke hajui hata kutafuta hela ya chumvi wakati ambao wewe unatafuta Ugali na Mboga. Uzoefu unaonesha kuwa mara nyingi wanaume huondoka na mapema kutokana na misukosuko ya hapa na pale hivyo kama unamuacha mwananke na watoto ambao hawezi hata kuwatafutia paracetamu. Fahamu kabisa wewe pia utachangia kwa kiasi kikubwa kuongeza idadi ya watoto wa mtaani duniani.
Mipango yote ni ya mungu lakini kuna wakati kuoa mwanamke ambaye anaweza kutatua changamoto ndogo ndogo au kubwa za kimaisha ni kama backup pale ambapo mwenyezi Mungu ataamua kutoa kile chenye thamani zaidi (roho) katika jumba lake ambalo binadamu hawawezi tena kukaa nalo hata mwezi ndani ya nyumba zao.
Madam na hao mabinti nao wako ongeze, huoni dira ya ndoa au ustaarabu wa malezi bora.mostly wanaume ni kukwepa tu majukumu ya kua baba ambayo mtu hakuyatarajia wakat wanajua fika walitiana kavu na matokeo ndio mimba shida nyingine ukute mama alisingizia baba wawili mtoto mwisho wa siku kizungumkuti kamzozo
hamsikiagi mkiambiwa tulia na mtu mmoja tu ni kuepusha wazimu kama huu
waafrika tunaongoza kuzaa holela na kutolea. unakuta li mtu linazaa watoto hovyo kisha anampa first born majukumu kulea wadogo zake. mzaz wa hivyo namuwekea sumu akawahi pepoHuwa natazama jinsi wanavyo randa barabarani, wakiomba kitu. Halafu still Hawa pati.
Afu kumbe ukute ni mwanao huyo??
Sasa hizo dini Zina kufanya Vipi we USI tumie Akili??
Nakazia, Ngozi nyeusi tuji tafakari.waafrika tunaongoza kuzaa holela na kutolea. unakuta li mtu linazaa watoto hovyo kisha anampa first born majukumu kulea wadogo zake. mzaz wa hivyo namuwekea sumu akawahi pepo
tunasubiri tuwe financially stable ndiyo tuzae mkuu, Ahsante..!View attachment 2973070
Una jua the most resilient parasite ni ipi??Wanaume na wanawake wabongo moja ya mambo yanawapa shida nikuzi-control hisia zao za ngono.
hii jamii ina lalamika haki Zina banwa, ila sisi ndo ma dictator wabaya Sana.Inasikitisha Sana.
Kuzaa ni jambo zuri ikiwa umejipanga kuzaa ,kulea na kuhudumia .
Wanaume na wanawake wabongo moja ya mambo yanawapa shida nikuzi-control hisia zao za ngono.
Watoto yatima ndo walipaswa kuwa wanaangaliwa Ila unfortunately watu wapo hai wanazaa watoto wanawatelekeza huku wakila bata.
Ni IPI mkuuUna jua the most resilient parasite ni ipi??