Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,105
- 828,998
- Thread starter
- #21
DuuuNdio una miguu mizuri ivyo
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuuNdio una miguu mizuri ivyo
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Asante kwa maelezo mazuriMkuu Mshana hiyo ni chemistry ambayo wazee wetu waliitumia nadhani bila wao kujua ni nini hasa kilikuwa kinatokea ni kama walivyokuwa wakibeba ndoo kichwani,ukiweka zinga/kata maana yake unapunguza pressure kwa kuongeza surface area ya kichwa,au unapopuliza moto unaongeza supply ya oxygen,back to Jiwe la nyoka japo siwezi kukumbuka vizuri maana elimu niliyokuwa napewa ilikuwa informal kidogo ,lile jiwe ni strongest reducing au oxidizing agents ambalo hutumiwa kureduce au kuoxiidiz sumu toka mwilini(sikumbuki vzuri) na kama sikosei lile jiwe potassium permanganate na watu wa chemistry mnajua ina oxid state ya +7
Live kabisa na bado mguu haujakaa sawada!!! hivi huwa ni kweli!!!
hilo joka mbona kama kobra, pole sana mkuu
Lakini hilo jiwe linamipaka nyoka wenye sumu zaidi haliwezi fua dafu.
Duu kuliwa tena mtani!pole kwa kuliwa na nyoka.. hawa wadudu nawaogopa sana
amekukula
Vipi ukituelezea hiyo miti tuifahamu!Lakini hilo jiwe linamipaka nyoka wenye sumu zaidi haliwezi fua dafu.
Kuna nyoka hatari wenye sumu kali ambao lazima dawa kali zaidi itumike.
Binafsi hata siwezi elezea sayansi behind ila nilielekezwa na babu yangu miti kadhaa na nini cha kuchanganya endapo nyoka mwenye sumu kali zaidi ameng'ata mtu ama mimi mwenyewe.
Kuna miti mingi ila kuna miwili ndiyo naikumbuka vizuri na nini cha kuchanganya.
Sent using Jamii Forums mobile app