Nimekuelewa mkuu.priorities, priorities!!
JPM hakuwahi ku deal na watu, yeye mambo yake ndio hayo. baadaye mtakuwa kama Ethiopia mna ndege msizo weza kupanda, mna tren msizo weza kutumia, mna barabara msizo weza kupita, mna umeme mso weza kulipia.
maendeleo yeyote lazima yaendane na mahitaji ya msingi ya binadamu. Rais achia ajira, ongeza juhudi za uwekezaji, weka hata program za umeme na maji kila kijiji, fungulia wageni waje kuwekeza, hapo uta win ila for sure utakuwa unazindua vitu na watu hawata kuelewa kwa ku kosa mambo madogo ila ya msingi.
Big up iceman.priorities, priorities!!
JPM hakuwahi ku deal na watu, yeye mambo yake ndio hayo. baadaye mtakuwa kama Ethiopia mna ndege msizo weza kupanda, mna tren msizo weza kutumia, mna barabara msizo weza kupita, mna umeme mso weza kulipia.
maendeleo yeyote lazima yaendane na mahitaji ya msingi ya binadamu. Rais achia ajira, ongeza juhudi za uwekezaji, weka hata program za umeme na maji kila kijiji, fungulia wageni waje kuwekeza, hapo uta win ila for sure utakuwa unazindua vitu na watu hawata kuelewa kwa ku kosa mambo madogo ila ya msingi.
Ni ngumu kidogo, you have to strike the perfect balance.Hayo uliyoeleza ni huduma. Magufuli anajenga miundombinu ya uchumi
Ukikaa na wazazi wako siku moja mkiwa ktk maongezi then waambie wao kuwa wako hivyo then uwasikie watakuambia nini wewe mtoto wao!Tangu lini ZIRO BRAIN ikawa tusi.
Ziko njiani zinakuja hakuna ahadi ambayo hataachwa kutekelezwa na Serikali my sisterMilioni hamsini kwa kila kijiji ziko wapi?
Usibeze maendeleo ya nchi,Usichanganye umeme wa majumbani na umeme wa trainNimesikia train itakuwa inatumia umeme..nmejiuliza ni huu umeme wa Tanesco..nikabaki nacheka nikitarajia kuwaona abiria wakishushwa porini
Miaka 5 ishaisha?Milioni hamsini kwa kila kijiji ziko wapi?
Rudi darasani usome tena soma la jiografia yako vizuri.Uzinduzi unafanyika Pugu Mkoa wa Pwani haimhusu RC wa Dsm
Kesho Rais Magufuli anategemea kuweka jiwe la msingi hapa Dar es salaam kwa Reli ya kisasa itakayotumia muda mfupi Dar kwenda Morogoro
Taarifa hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda Leo alipokuwa anaongea na wanainchi.
Inasemekana train hii hii itatumia saa 2 kufika Morogoro ikitokea Dar es salaam.
Pugu iko wilaya ya Ilala ya Mama Sofia Mgema Mkoa wa Dar wa Paul Makonda.Uzinduzi unafanyika Pugu Mkoa wa Pwani sio Dsm
Na wewe ukatekwa na jina tu.wala usinge Hata comment kama siyo habari.Nilipo ona jina lake tuu,nikajua hakuna habari! Watanzania tabia ya kujikomba Na unafiki itakwisha lini?
Wapumbavu wasiokuwa na kazi utawaona leo tena wamepewa usafiri bure wa kwenda Pugu kuzindua!!!!watu wa dar ndio wanaomfuga makonda, njia pekee ya kumpinga makonda ni kutohudhuria shughuri zake hizo hadi atapotoa vyeti
This is an old case.....watu wa dar ndio wanaomfuga makonda, njia pekee ya kumpinga makonda ni kutohudhuria shughuri zake hizo hadi atapotoa vyeti
Pugu station ni eneo la dar mbona analeta muingiliano wa madaraka kwasababu ya kimbelembeleYeye ndiye RC,
Mkuu wa Mkoa,
Na kwakua reli inaanzia
Dar es Salaam(mkoa wake/eneo lake la kiutawala)
Mwambie aweke cheti mezani ndiyo tutakapoweza kumsikiliza vinginevyo tangazo hili ampelekee Baba yake MagogoniKesho Rais Magufuli anategemea kuweka jiwe la msingi hapa Dar es salaam kwa Reli ya kisasa itakayotumia muda mfupi Dar kwenda Morogoro
Taarifa hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda Leo alipokuwa anaongea na wanainchi.
Inasemekana train hii hii itatumia saa 2 kufika Morogoro ikitokea Dar es salaam.