Na baadaye yatatumika kuwapondea vichwa.....ng'ombe kabisa ccmMtaweka sana mawe
Tegemea kituko kingine maana kila uzinduzi Baba na Mwanaye kazi yao ni kuleta majanga kwa WananchiNgoja nimsikilizie mzee leo sijui atakuja na jibu gani? teh teh teh Hii ndo Tanzania bana maana neno lake moja tu gumzo nchi nzima mapovu....
Kesho Rais Magufuli anategemea kuweka jiwe la msingi hapa Dar es salaam kwa Reli ya kisasa itakayotumia muda mfupi Dar kwenda Morogoro
Taarifa hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda Leo alipokuwa anaongea na wanainchi.
Inasemekana train hii hii itatumia saa 2 kufika Morogoro ikitokea Dar es salaam.
mwenzako kasema wananchi wewe unasema wandishi laana zingine bana.Waadishi wepi? kina Lemutuz?
Kesho Rais Magufuli anategemea kuweka jiwe la msingi hapa Dar es salaam kwa Reli ya kisasa itakayotumia muda mfupi Dar kwenda Morogoro
Taarifa hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda Leo alipokuwa anaongea na wanainchi.
Inasemekana train hii hii itatumia saa 2 kufika Morogoro ikitokea Dar es salaam.
Sio wapumbavu ni watanzania wanaipenda nchi na maendeleo yake na kuwaheshimu viongozi wao.Wapumbavu wasiokuwa na kazi utawaona leo tena wamepewa usafiri bure wa kwenda Pugu kuzindua!!!!
mbona makonda ni kama maji lazima utakutana naye tu kama siyo kunywa,kuoga hata kunawa utanawa tu.watu wa dar ndio wanaomfuga makonda, njia pekee ya kumpinga makonda ni kutohudhuria shughuri zake hizo hadi atapotoa vyeti
Kila MTU na kazi yake.Mkuu wa Mkoa ameongea na wakazi wake wajitokeze ktk kuweka jiwe la msingi na Mh Rais ktk Ujenzi huo.NALITEGEMEA WAZIRI WETU WA UJENZI ATANGAZE JAMBO HILI ( kweli mahabuba hatari haya)
Safi sana Makonda waha wapiga debe waendelee na ngojera zao HAPA KAZI TUKesho Rais Magufuli anategemea kuweka jiwe la msingi hapa Dar es salaam kwa Reli ya kisasa itakayotumia muda mfupi Dar kwenda Morogoro
Taarifa hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda Leo alipokuwa anaongea na wanainchi.
Inasemekana train hii hii itatumia saa 2 kufika Morogoro ikitokea Dar es salaam.
Kuwaheshimu viongozi wao wasio na vyeti na wavamizi.Sio wapumbavu ni watanzania wanaipenda nchi na maendeleo yake na kuwaheshimu viongozi wao.
Aibu sana, yani UDSM ihamishiwe Lindi tu.Watu milioni 5 wa Dar wanaongozwa na kihiyo.
Tukio linatokea mkoani mwake ulitaka Mbowe ndie atangazeMtu wake wa karibu sana.
Acha majungu Makonda ni mkuu wa mkoa anawatangazia wananchi wa mkoa wa dar Es Salaam na hiyo sio kazi ya waziri ,nyie watu mbona hamjui hata protocol ?Mtu wake wa karibu sana.
Kama bado akili zako zimeshikiliwa na Askofu Gwajima na Dada Mange wa USA kuhusu tamthliya ya vyetu basi una shida.Mwambie aweke cheti mezani ndiyo tutakapoweza kumsikiliza vinginevyo tangazo hili ampelekee Baba yake Magogoni
Pugu iko Dar au pwani!???View attachment 494396
MKUU WA MKOA WA DAR RC FIELD MARSHALL MAKONDA @paulmakonda at MATAYARISHO YA RAIS MAGUFULI kesho kuweka jiwe la msingi la Treni ya Umeme at Pugu to Morogoro ...itajengwa kwa miezi 30 tu! ....VIVA MAGUFULI ....KANYAGA TWENDE! - le Mutuz Nation