CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
hongera, akimaliza afanye kadigirii kapili kabisa.....
Inshallah! Tuombe Mungu
hongera, akimaliza afanye kadigirii kapili kabisa.....
Mi nimesoma PCB, katika A-level niliyosoma kulikuwa na PCB na CBG. Katika tuliomaliza form six wengi wamefika vyuo vikuu hata wale waliopata div 3 na 4. Kuna walioenda computer science, food science, veterinary medicine, udaktari, uclinical officer, uafisa kilimo, uafisa wanyama, unesi, maabara, ualimu, uinjinia, uhasibu, clearing and forwading nk.
Wale waliopata ziro walienda vyuo ka matokeo yao ya form 4 nawengine walipata tempo za kufundisha. Hawakuwepo waliokaa kihasarahasara. Ninachotaka kusema ni kuwa sayansi ina uwanja mpana wa mambo ya kusomea. Pia sayansi inakupa nafasi ya kusomea kozi zenye soko tofauti na arts.
Nyakati za kusomesha watoto ilimradi umesomesha zimepitwa na wakati. Inatakiwa kusomesha kwakuangalia future yake. Ukisikia graduate hawana ajira utashangaa 90% ni waliosoma arts. Watoto wanatabia ya kufuata vitu vinavyoonekana ni rahisi. Ni jukumu lako mzazi kumuonyesha njia sahihi na kumtia moyo. Sayansi haina ugumu kwamba mtu mwenye bidii imshinde
Mi nimesoma PCB, katika A-level niliyosoma kulikuwa na PCB na CBG. Katika tuliomaliza form six wengi wamefika vyuo vikuu hata wale waliopata div 3 na 4. Kuna walioenda computer science, food science, veterinary medicine, udaktari, uclinical officer, uafisa kilimo, uafisa wanyama, unesi, maabara, ualimu, uinjinia, uhasibu, clearing and forwading nk.
Wale waliopata ziro walienda vyuo ka matokeo yao ya form 4 nawengine walipata tempo za kufundisha. Hawakuwepo waliokaa kihasarahasara. Ninachotaka kusema ni kuwa sayansi ina uwanja mpana wa mambo ya kusomea. Pia sayansi inakupa nafasi ya kusomea kozi zenye soko tofauti na arts.
Nyakati za kusomesha watoto ilimradi umesomesha zimepitwa na wakati. Inatakiwa kusomesha kwakuangalia future yake. Ukisikia graduate hawana ajira utashangaa 90% ni waliosoma arts. Watoto wanatabia ya kufuata vitu vinavyoonekana ni rahisi. Ni jukumu lako mzazi kumuonyesha njia sahihi na kumtia moyo. Sayansi haina ugumu kwamba mtu mwenye bidii imshinde
Rebeca 83 unasemaje kuhusu hii ishu? habari yako lakini?
hahahaaaa. ila umeongea vema sana mkuu. wazazi wasiishi ndoto za watoto wao ili wapate sifa wakivaa stethoscope, LOL. Ni ile tu dunia inahitaji wanasayansi zaidi. so tujitahidi na si kulazimisha waende huko. Nikupe mfano, wanasema kwa wahamiaji wanaoenda Marekani waafrika wanaongoza kwa kuwa na elimu kubwa. wamewazidi wahamiaji kutoka Asia na ulaya. Ila wahamiaji kutoka ulaya na Asia wana maisha bora zaidi, kwaninini? wahamiaji kutoka Asia na Ulaya wanaenda na degree za computer, na sayansi zingine wakati Wanigeria wanaenda na sociology na HR. Hatupaswi kuwaongoza watoto kulingana na dunia inataka?Mkuu mimi niliishia form five (Advanced Subsidiary)..nilichukua Chemistry na Biology,...nilifeli vibaya,ikaniondolea confidence ya kuendelea kusoma,lol..nilishawahi kuleta hapa wazazi wasiishi ndoto za watoto wao,yaani mzazi akiona mtoto wa Fulani ni daktari na yeye anataka wake awe daktarin...udaktari umekua kama 'pride ' Fulani hivi sio kwa mzazi tu hata kwa mwanafunzi mwenyewe,yaani kuvaa koti jeupe na tethoscope(sijui kama nimepatia),ni kama ufahari Fulani,yaani kuna watu(Madaktari) ukiwaona wako soo stressed mpaka wamezeeka mapemalol,i think fanya kitu unachopenda,labda tuisahauri serikali yetu iwe na watu/Career advisor anayepita mashuleni huku kuwa advice watu waexpect nini wanapochagua career zao,na pia nimeona mahali universities wanaalika watoto wanaotaka kusoma kozi Fulani wanawafanyia presentation ya hio course na kuwaonjesha course inahusu nini,baadae mtoto ana apply anachopenda...
hahahaaaa. ila umeongea vema sana mkuu. wazazi wasiishi ndoto za watoto wao ili wapate sifa wakivaa stethoscope, LOL. Ni ile tu dunia inahitaji wanasayansi zaidi. so tujitahidi na si kulazimisha waende huko. Nikupe mfano, wanasema kwa wahamiaji wanaoenda Marekani waafrika wanaongoza kwa kuwa na elimu kubwa. wamewazidi wahamiaji kutoka Asia na ulaya. Ila wahamiaji kutoka ulaya na Asia wana maisha bora zaidi, kwaninini? wahamiaji kutoka Asia na Ulaya wanaenda na degree za computer, na sayansi zingine wakati Wanigeria wanaenda na sociology na HR. Hatupaswi kuwaongoza watoto kulingana na dunia inataka?
Hapo ndo point nimeiona Mkuu respect
Akili nyingi Sana mkuuu much respectKwani Kuna Vita Mimi niliyesoma art na kufungua dispensary na kumuajiri wa sayansi kama mfanyakazi wangu
Sent using Jamii Forums mobile app