Na lee
Senior Member
- Mar 9, 2014
- 154
- 73
nakubaliana na wewe kabisa. hata mimi watoto wangu wote lazima wasome masomo ya sayansi tena nataka wawe madaktari. Mungu atawasaidia. however, ukiangalia mabilionea wote tz hakuna aliyesoma masomo ya sayansi. pia ugonjwa mkubwa wa watz ni rushwa, kati ya wale waliokula ESCROW ukianza na mzee wa tumbili hadi woote, hakuna aliyesoma sayansi hata mmoja. hivyo hata arts ina mazuri yake pamoja na kwamba sayansi ni bora zaidi kwa kupata hela ya halali, art ni kupata hela ya wizi. mimi ni lawyer najua ninachoongea.
Ushaur mzur, ila jaribu kufikiria na mfumo wetu wa elimu unasupport inshu za sayansi?
Usifikir hakuna asiyependa mwanae asome sayansi lkn je shule zetu hiz za kata zina miundombinu mizur ya kumfanya mwanafunzi asome sayansi? Kuna watu walikuwa wanapenda kuwa madokta lkn ndoto zao zilikwamishwa kwan hapo anaposoma unakuta hakuna mwalimu hta mmoja wa sayansi, shule ambazo zina miundombinu ya kutosha kma walimu, maabara, vitabu ya sayansi vya kujifunzia na kufundishia ndio ambazo n private school na zina toza ada kubwa ili uweze kuipata io elimu
#Tutafakar