Jirani yangu simwelewi

MI nipo km mleta uzi stak mazoea ya kimaandaz
 
Yeah kweli kabisa, hata mi nawaonaga hivyo. Tena sometimes nahisiga wanaenjoy life kuliko sisi, nadhani tunajipa stress sana kwa hizi ambition zetu za ku-aim high kila kitu. Imaginary life tunayo-wish nahisi inatutesa sana bila kujijuwa
 
nafikiri hapo unaweza mweleza ukweli ili usibaki na dukuduku na kubaki free soul
 
Ukipata rafiki wa aina hiyo unapaswa umshike sana Mungu kwani wengi wao sio wazuri.

Ni vyema pia kuhama nyumba hiyo kama uwezekano upo.
 

Usikubali kuwapa nguo uliyovaa. Wanawake wengine hawana nia nzuri na huendekeza ushirikina. Mbaki ni hapi hiyo ilikuwa ni gia ya kukuingia na labda hukuelewa somo.
 
Huyo demu mshamba. Kwa maneno mengine ushamba unamsumbua.
 

WEKA PICHA MKUU
TULITATUE SASA HIVI HILI TATIZO.
 
Hiv si umwambie mm sipend kuulizwa ulizwa y unamkawiza. Au muulize unataka kununua? Akisema ndio mwambie tafuta naul nikupeleke nilipo nunua au nilipo suka. Yan hiyo ni tabia yake jibu short ans asipate la kuuliza
 
Mambo ya kupanga nyumba jirani hizi tabu tupu
 
Acha majungu mtoa mada,mbaya wako yuko huko ulikopanga yakupasa umwambie ili uwe huru(hit the nail on its head)
 
Mwambie tu ukwel that you don't like the habit just in good terms as grown up...km anajielewa atajua nn cha kufanya...kukaa kimya kutakuumiza na kukufanya more uncomfortable n unsecured.huo n mtazamo wangu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…