Jirani yangu simuelewi

hapo umeiona chupi kwa ndani tu je ungeikuta chupi imeanikwa kwenye kamba pekeyake si ndo ungewehuka
 
wewe ni rijali kweli,,,,, usiziheshimu hisia zako kila wakati .....wacha mambo yaende....wanasema jirani nyama ya hamu,,,,epuka uionja....ukijaribu uhuru wako mashakani.....ila kumbuka CDM.
 
hapo umeiona chupi kwa ndani tu je ungeikuta chupi imeanikwa kwenye kamba pekeyake si ndo ungewehuka

Hizo mimi kama mimi wala hazinistui mkuu, ila iliyovaliwa inautata sana na chupi yenyewe sasa balaa tupu i wish ungemjuwa jiran yule
 
wewe ni rijali kweli,,,,, usiziheshimu hisia zako kila wakati .....wacha mambo yaende....wanasema jirani nyama ya hamu,,,,epuka uionja....ukijaribu uhuru wako mashakani.....ila kumbuka CDM.

Hilo ni tatizo akilin kwa sasa nikiangalia ni pua na mdomo
 
Duh zitakuwa pombe hizo mkuu.

Mimi nilijua wewe kwa kuacha funguo basi umekombwa vitu vyako ndani kumbe ni uchi tu umekupagawisha.


Hatari
 
Duh zitakuwa pombe hizo mkuu.

Mimi nilijua wewe kwa kuacha funguo basi umekombwa vitu vyako ndani kumbe ni uchi tu umekupagawisha.


Hatari

Pombe haijahusika mkuu tena baada yakuona vitu adim pombe kama iliachia flan ivi
 
Alikuwa na wenge la usingizi , alifikiri amejifunga kitenge. Msamehe bure jirani.
 
Hapo uliposema Ushamba ungepigia mstari ndo penyewe haswa. mwenzio alishaingia kulala ulitaka alale na jinzi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…