Jirani yangu anatoka nje akiwa kavaa boksa tu (nguo ya ndani )

Ukipata familia utanielewa kijana
Hakuna kitu sikipendi kama wwe kama Baba nyumbani umepiga marufuku watoto wako wa primary hakuna matumizi ya smart phone, alafu kuna huyu family friend mnaheshimiana sana lakini akimleta mtoto wake for visit lazima huyo mtoto au watoto waje na hizo.smart phone zao! Sipendi kabisa hiyo tabiya!!!
 
Nitatokea hapo mlangoni ghafla uzimie/uage dunia majibu ukayapate kwa Muumba kwa mshangao kuwa kisarawe nimefika vipi.
🤣🤣🤣🤣🤣 umenifanya nipaliwe ujue
Hivi kisarawe ndio kama unaelekea bagamoyo au
Tatizo una nyapia taarifa zisizo na uhakika hebu Rudi wasije kukutangaza msikitini
 
🤣🤣🤣🤣🤣 umenifanya nipaliwe ujue
Hivi kisarawe ndio kama unaelekea bagamoyo au
Tatizo una nyapia taarifa zisizo na uhakika hebu Rudi wasije kukutangaza msikitini
🤣
Ahsante sana,siku njema ila kumbuka kesho siku ya majukumu.
 
Habari wakuu, hapa sijui Mimi ndie mshamba au huyu jirani yangu ndie ana matatizo ya afya ya akili.

Tupo wapangaji wawili ndani ya fance, yeye ana upande wake na Mimi nina upande wangu, lakini wote tunashea gate Moja.

Mimi nipo na familia yangu ya mke na watoto wawili pamoja na ndugu Mmoja wa kiume ambae umri wake ni mdogo.

Mpangaji mwenzangu yeye pia yupo na mke wake, watoto pamoja na ndugu wengine wenye umri mdogo (dada wa kazi na mabint wa 3 wadogo)

Huyu mpangaji mwenzangu amekuwa na tabia ya kuzurula na boxa bila kuhofia watoto wadogo waliopo ndani, sio mala Moja Wala mala mbili hii imekuwa tabia yake ya kila siku

Kibaya zaidi kuna muda huwa anakuja hadi kwenye upande wangu, kumtafuta mtoto wake akiwa na boxa lake.

Nimejaribu kumtafakari lakini nimeshindwa kumuelewa, nyumbani kwake kuna watoto wadogo, kwangu pia kuna watoto wadogo yeye hana wasiwasi hata kidogo.

Nisije nikawa namfikiria vibaya, au pengine nikawa na mambo ya kikoloni.

Ninyi mnamtafsiri vipi huyu jamaa maana nimeanza kufikiria kuhama.

NB; Siwezi kutofautisha R na L
Hama tafuta nyumba nzima, hizi za kushare inabidi uwe mvumilivu kweli kweli.
 
Habari wakuu, hapa sijui Mimi ndie mshamba au huyu jirani yangu ndie ana matatizo ya afya ya akili.

Tupo wapangaji wawili ndani ya fance, yeye ana upande wake na Mimi nina upande wangu, lakini wote tunashea gate Moja.

Mimi nipo na familia yangu ya mke na watoto wawili pamoja na ndugu Mmoja wa kiume ambae umri wake ni mdogo.

Mpangaji mwenzangu yeye pia yupo na mke wake, watoto pamoja na ndugu wengine wenye umri mdogo (dada wa kazi na mabint wa 3 wadogo)

Huyu mpangaji mwenzangu amekuwa na tabia ya kuzurula na boxa bila kuhofia watoto wadogo waliopo ndani, sio mala Moja Wala mala mbili hii imekuwa tabia yake ya kila siku

Kibaya zaidi kuna muda huwa anakuja hadi kwenye upande wangu, kumtafuta mtoto wake akiwa na boxa lake.

Nimejaribu kumtafakari lakini nimeshindwa kumuelewa, nyumbani kwake kuna watoto wadogo, kwangu pia kuna watoto wadogo yeye hana wasiwasi hata kidogo.

Nisije nikawa namfikiria vibaya, au pengine nikawa na mambo ya kikoloni.

Ninyi mnamtafsiri vipi huyu jamaa maana nimeanza kufikiria kuhama.

NB; Siwezi kutofautisha R na L
mambo kinondoni hayo
 
1. Usimwambie chochote
2. Kama hujiamini na anakuzidi maumbile hama hapo.
3. Kama mkeo ni mtu wa kushinda nyumbani, hama hapo.
4. Kama watoto wako ni wakubwa above miaka 10 Hama
 
Nilidhani unanisema mimi ambaye nipo nyumbani kwangu usinipangie kutoka na boxer au TVS ni maamuzi yangu binafsi!
Ila mchane haijakaa poa hiyo!
 
Wtz waoga kiasi hiki. Huyo unamchana live aache kuvaa boxer

Sasa kama unaogopa kumwambia mwanaume mwenzio live

Mtaweza kutoa fisiemu madarakani nyie!???
Kama Wewe unakerwa na boxer lake na Yeye anakerwa na misuruali yako

Kwani mwenye nyumba ana rasimu ya sheria kipi kuvaliwe na kipi kisivaliwe

watu wanatoka kwny Jamii tofauti, Wakati wewe unamshangaa kwa kinjunga hicho alichovaa na Yeye anaweza akawa anakushangaa kwa wewe kumshangaa kwa kuwa kila mtu na utaratibu wake wa maisha

zamani hata Wanawake wakivaa suruali mjini tulikuwa tunawashangaa lakini sasa hivi tunamshangaa anaemshangaa huyo Mwanamke

tujifunze kupuuza yasiyotuhusu

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Kama Wewe unakerwa na boxer lake na Yeye anakerwa na misuruali yako

Kwani mwenye nyumba ana rasimu ya sheria kipi kuvaliwe na kipi kisivaliwe

watu wanatoka kwny Jamii tofauti, Wakati wewe unamshangaa kwa kinjunga hicho alichovaa na Yeye anaweza akawa anakushangaa kwa wewe kumshangaa kwa kuwa kila mtu na utaratibu wake wa maisha

zamani hata Wanawake wakivaa suruali mjini tulikuwa tunawashangaa lakini sasa hivi tunamshangaa anaemshangaa huyo Mwanamke

tujifunze kupuuza yasiyotuhusu

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Unajua maana ya kitu kinaitwa ustaarabu bro! Au unaongea tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom