AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
i always do better....always...
refer to what?lol
mmmh... i see...
forget i said it...
i always do better....always...
refer to what?lol
Na wachaga jeNi kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
watanzania mna mawazo mabovu,
siwezi kumlinda mwanamke hata siku moja,nina mambo mengi sana ya kufanya,akafie mbele
Aaah! wapi tena ukioa mngoni mwenzenu ndo kabisa anazungumzia dirishani tu! utasikia "NENE NIKUGANILI KWEI!" Vicheko vinaanza mambo yameiva.jamani mtatufanya tufukuzwe mjini hapa turudi NDILIMA ZA WAYAHI kwa miguu bure sisi hatunyemelei wake za bwana wewe mke wa mtu ni sumu anuuu!
Unamaanisha nini? Huna wivu au inakuwaje! sijaelewa hapa au na wewe huna mpango wa kukagua simu ya mkeo kama mimi nitakavyofanya nikishaoa?
Unamaanisha nini? Huna wivu au inakuwaje! sijaelewa hapa au na wewe huna mpango wa kukagua simu ya mkeo kama mimi nitakavyofanya nikishaoa?
Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
kukagua simu ya mke wangu??nina wazimu??yule ni mtoto wa watu baba,,ana uwezo wa kuondoka na kuniacha nashangaa,,hujaona mifano??nafikiri mimi nina akili sana,,sifanyagi upumbavu,,mwanamke kama tunaishi ni heshima peke yake inatakiwa!!thats all,,
not physical rope bali saikological rope, mdatishe .VIPI MTIE KAMBA MUMEO haidhalilishi wanaume?
not physical rope bali saikological rope, mdatishe .
wewe unazungumzia kumchunga mkeo phyisically