Jirani huyu kiboko

Jirani kachangamka! 😄😄
 
umenena vyema
 
kama uwezo unao wewe msaidie tu ndio baraka zenyewe hizo,fanya kama unatoa sadaka.
 
Weka picha yake
 
Nimekaa uswahilini. Nawajua wa hivyo. Itafika wakati fulani atataka kukupa mwili wake ili aombe zaidi kwa urahisi. Na ukikataa, mtakuwa maadui wakubwa. Usalama wako, kataa tangu mwanzo huko kwenye vitunguu, chumvi...
 
Nimekaa uswahilini. Nawajua wa hivyo. Itafika wakati fulani atataka kukupa mwili wake ili aombe zaidi kwa urahisi. Na ukikataa, mtakuwa maadui wakubwa. Usalama wako, kataa tangu mwanzo huko kwenye vitunguu, chumvi...
alafu ana mtuma binti yake sasa yeye mwenyewe hajawahi kuja huko kwenye mwili mume wake yupo wa kazi hiyo aisee
 
Wa hivyo kaa nao mbali sana Wachawi balaa anakuzoea wee kisha anakitafutia visa akufanyie ubaya.

watakuja akina mzee tola hapa kukuwakia ati uache uchoyo
Hivi mchawi kukuwangia mpaka aforce visa
 
halafu sasa mume wake ana wake wawili inakuwaje mme ana wake wawili mkewe anakuja kukopa jero
UKIONA KITU MZUNGU HAFANYI ACHANA NACHO MARA MOJA...Hakina faida! Mzungu kawazaa weee! Kachukua ruler kapima, kachukua venier caliper kapima, micrometer screw gauge kapima, thermometer kapima, Microscope kapima, kachukua vipimo vyote unavyojua kapima...mwisho kapata jibu wake wawili haina faida niwaachie waafrica tu..matokeo yake sisi bado tumeng'ang'ana nayo tuu, matokeo yake ndo hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…