PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Jirani yangu ambaye anaishi gorofa moja juu yangu kila wakati akifanya mapenzi huwa ananiamsha kwa sababu kitanda chake kina piga kelele sana.Tena huwa ni katkati ya usiku kuanzia 1am to 3am.Hii ina affect usingizi na kupumzika kwangu kiasi nina uchovu the next day.Ninaweza kumu approach kivipi nimu advice anunue kitanda ambacho hakina kelele.Kwa sababu nikisha amka hadi wamlize starehe zao ndiyo mimi huweza kurudi usingizi.