Kama unaogopa face to face andika kikaratasi penyeza chini ya mlango usiku akirudi na demu wanapata ujumbe kabla hawajaanza majamboz!! :scared:
Hehehehe dah mm nilijua na ww mzuka unakupanda kumbe ni kelele tu za kwichikwichi,
Wakianza ww fungulia radio endelea kula music taratiiiiiiiiibu laini laini.
Jirani yangu ambaye anaishi gorofa moja juu yangu kila wakati akifanya mapenzi huwa ananiamsha kwa sababu kitanda chake kina piga kelele sana.Tena huwa ni katkati ya usiku kuanzia 1am to 3am.Hii ina affect usingizi na kupumzika kwangu kiasi nina uchovu the next day.Ninaweza kumu approach kivipi nimu advice anunue kitanda ambacho hakina kelele.Kwa sababu nikisha amka hadi wamlize starehe zao ndiyo mimi huweza kurudi usingizi.
hehehehehe
ingia kwenye gemu naye siku moja kisha mwambie kitanda kina kelele halafu katisha gemu. atapata somo
Kulingana na makelele ninayo ya sikia sioni ni kama game yake iko juu - haitamanishi hataa!
Tetesi!? Huna uhakika Kama wanakuamsha au!!
Unaweza kumwambia jirani wa jinsia moja na wewe kuwa kitanda chao kinakukwaza...... Nafikiri atakuelewa