Jirani aamka na kujikuta yuko juu ya bati

Jirani aamka na kujikuta yuko juu ya bati

We jamaa kwa uongoo kesho unakuja na movie gani

huyu ni wewe??
avatar190192_1.gif
 
Jumatatu wazungu wanaiita Blue Monday....Kibongo bongo siku ya bluu au?????
 
jamani ama kweli wachawi ni balaa, jirani yangu jana usiku alilala ndani ya nyumba yake lakini leo alfajiri amejikuta kalala juu ya bati la nyumba,tena akiwa na mashuka yake. ikabidi tufanyi jitihada za kumshusha chini,lakini jamaa anaonekana ana akili zake timamu kabisa kwa sasa jamaa amebakia home akitafakari ilikuaje ameamkia juu ya bati?

Jamaa naye ni mlalavi. Itakuwa alianguka kutoka kitandani huyo...
 
madirisha yalkua yamefungwa na milango imefungwa sa sjui alitokaje hahahah
 
Back
Top Bottom